Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nice one ila mradi upo slow, bado hawaja-install Francis Turbines! pili sioni power substation sioni!

2-A-view-of-the-Francis-turbine-ref-Kvaerner-Brug-AS.png



68f752f94355bba00163c0495f0bfbbb.jpg
Hio powerstation niliokuonyesha awali ipo karibu kukamilika ila kuna hii hapa ambayo bado ipo mbali kidogo na itachukua muda kukamilika
Power house.jpg
 
Turbines zimeshaagizwa na zitawasili soon maana mwaka huu lazima wafunge turbines mbili na zitazalisha 375 MW × 2 = 750 MW.


Halafu mimi sio engineer bali najua kwamba hili shimo hapa chini ndipo ambapo turbine itashushwa. 👇 👇 👇 View attachment 1711538
Power substation walishajenga zamani sana.
wanafunga unaona huko pembeni maji yataingia kuizungusha halafu yatatoka hapa kwenye hizo bomba kubwa!

2701000_e8skpzD.jpg




JNHPP pia itaanza kufunga turbines mwaka huu!
 
We choko Nataka nifike kariadudu home kwako 🙂
kutokana na majibu yako inaokena umeishi kenya sana...je wajua ni kwa nini?? ni kwa sababu ulikuja kujitafutia riziki huku kenya kwa maana kwenu tz mna viongozi bure na nchi yote kwa jumla ni watu wa vivu, wanyonge na ndio kwa maana hakuna kazi wala njia za kujipatia mkate wa kila siku... hizi slums za kenya zime jaa wageni kutoka nje sanasana kutokea tz... je wajua omba omba wote kenya ni wakutokea tz pia ...kwa hivyo karibuni sana ndigu zetu sisi twawakaribisha na twa wapenda....kenya hapa east africa ni nchi ilio stawi na ndio kwa maana wa tz huja huku kujitaftia riziki
 
MImi nikienda tz nitaenda kama mtalii nikalale kule serena nikisalimia managers pale wakenya wenzangu.. naskia ndio wanaongoza na kusimamia watanzania huko. sisi sio kama wa tz wao huja kenya kusihi katika vitongoji duni huku......kwa maana kazi tz hakuna itabidi aje kenya kujitafutia riziki
 
wanafunga unaona huko pembeni maji yataingia kuizungusha halafu yatatoka hapa kwenye hizo bomba kubwa!

2701000_e8skpzD.jpg




JNHPP pia itaanza kufunga turbines mwaka huu!
Mtafunga turbines mwaka huu lakini nyaya za umeme kati ya Kenya na Tanzania bado haujakamilika. Hata sijui ujenzi umefikia wapi. Sitashangaa ikiwa ujenzi bado haujafikia 50%.
 

How Kenya 2019/20 budget compares to Uganda, Tanzania, Rwanda​

Kenya’s budget is the highest in East Africa region exceeding that of Tanzania, Uganda, and Rwanda.The three nations presented their 2019/20 national budgets before respective parliaments at the same time on Thursday.Kenya’s 2019/20 budget stands at Sh3.02 trillion followed by Tanzania (Sh1.4 trillion), Uganda (Sh1.08 trillion) and Rwanda at Sh316 billion. Rwanda, Tanzania, and Uganda 2019/20 national budgets total to Sh2.8 trillion that is around Sh200 billion less Kenya’s budget.
Rwanda
Rwanda said its overall spending will rise 11 per cent in 2019/20 (July-June) fiscal year to Sh316 billion, while 2019 economic growth will be slower than a year earlier, its finance minister said on Thursday.The finance minister Uzziel Ndagijimana proposed that 85.8 per cent of the budget would come from internal sources, and the rest from external grants. The economy is projected to grow 7.8 per cent in 2019 from 8.6 per cent in 2018, he said.
Tanzania
According to Tanzania’s finance minister, the country’s overall spending during the 2019/20 period will rise 2 per cent to Ksh1.4 trillion. Philip Mpango, its finance minister told parliament on Thursday that the John Pombe Magufuli led government also plans to borrow Tsh2.32 trillion from external non-concessional sources.Tanzania is East Africa’s third-largest economy and is investing heavily in public infrastructure projects as it seeks to profit from its long coastline and upgrade its rickety railways and roads to serve the growing economies in east and central Africa.
Uganda
Uganda finance minister Matia Kasaija said the government spending is set to rise 23 per cent in 2019/20 to Sh1.08 trillionUganda plans to raise its spending by 23 per cent in 2019/20 (July-June) to Ush40.1 trillion, and its fiscal deficit will rise, its finance minister said on Thursday in his budget speech.Matia Kasaija said in parliament the 2019/2020 fiscal deficit would be 8.7 per cent of GDP, up from 5.8 per cent in this fiscal year, which ends this month.He said the government would borrow 2.8 trillion shillings from domestic markets in 2019/20 up from 2.2 trillion shillings in 2018/19. External financing will be 10.11 trillion shillings, but he did not say how much of this will be borrowed.
 
Back
Top Bottom