Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Western bypass , any kenyan with insight to help me understand it, looks so amazing by far.
images (1).jpeg
images.jpeg
ETTG-RoXQAAQ77O.jpeg
 
Mkuu mapanki si yale skeletons baada ya filets kuondolewa, miaka ya nyuma kidogo kulitokea scandal kubwa kutokana na documentary yake wazungu waliitengeneza mpaka ikajadiliwa bungeni?
Sikuona vizuri picha, nikafikiri ni mapanki kumbe ni dry fish.
 
Uyu mzungu amenishtua kidogo...inama kunya kujenga mastation makubwa nirobari na msa train ya abiria ni moja tu kwa siku? Real nyie mnafaa kujitafakari sana alafu akuna hata biashar wala nini zinazo fanyika kwa izo stations zaid ya kuwekwa km makumbusho na masanam
Msikilize jamaa kuanzia dakik 2: 19
20210110_152230.jpg
20210110_152213.jpg
 
Uyu mzungu amenishtua kidogo...inama kunya kujenga mastation makubwa nirobari na msa train ya abiria ni moja tu kwa siku? Real nyie mnafaa kujitafakari sana alafu akuna hata biashar wala nini zinazo fanyika kwa izo stations zaid ya kuwekwa km makumbusho na masanam
Msikilize jamaa kuanzia dakik 2: 19View attachment 1673733View attachment 1673734
Ameiita lunatic express jina lake la ubatizo 😀😀😀
 
Fact ni kwamba nimesoma kushinda wengi wenu. Endelea kunichokora. Hata utagundua kwamba nimeishi Europe. Endelea kunipekua
Ndio maana tunawambia wazungu waliondoka na akili zenu. Katika karne hii bado unatishia watu eti umekaa europe! As a matter of fact wengine humu wamekaa zaidi ya Europe. I mean wamekaa kote America, Europe and Asia but they are keeping a low profile. Jivunie ukenya wako acha kuwatukuza wazungu kama vile ni babu zako!
 
Would you believe me if I tell you that I had a friend who pursued engineering without doing physics at Secondary level?
Now i know the reason behind those poor structures in your country 😁
 
Back
Top Bottom