Don't be too lazy to read you foolThe Chinese r building Mteza-Mweche bridge!




Kweli kabisa wamefanya watu makini km kina Magu wapate shida mno kupanga miji.Makumbusho, Mwananyamala, Manzese ni sehemu za kuanza nazo. Huu ungese ulianza serikali ya Mwinyi, hawa ndio viongozi wasio na Vision waliowahi ongoza nchi. Hopeless
Nyinyi munatengeza zipi hzi👇👇👇U
Unapinga kwani nyi huwa mwatengeneza magari😂😂😂
Namungo FCView attachment 1673570
Mbeya City FCView attachment 1673569
Singida United FCView attachment 1673558
Ligi yetu km ulaya aisee.Hii timu imepanda Daraja msimu uliopita, but they are better off than Gor Mahia View attachment 1673545
Nchi za Africa haziendelei sababu tu ya Viongozi,Kweli kabisa wamefanya watu makini km kina Magu wapate shida mno kupanga miji.
Akili na uwezo alionao Magu huwezi fananisha na kiongozi yeyote hapa Africa, si umeona jinsi alivyo mmask Kagame for only 4yrs japo Kagame ana akili ila Magu kiboko yake.Nchi za Africa haziendelei sababu tu ya Viongozi,
Thanks Magufuli amewafungua Waafrica Macho. It's only Leadership.
hilo balaa mzeee.Huge influx of Tourist's are flocking in Zanzibar... with rare face masks on
View attachment 1673422
Kenyatta kawadanganya ni 3km bridge 🤣🤣🤣🤣 leo nimecheka sana
Tangu lini nchi ya mchina akajenga mjapani![]()
mikenya ni mishamba sanaUmeishi wapi!? Kwa hiyo ukiishi Europe ndio umekuwa nn?


