Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Em toa maoni yako kuhusu viability ya hiyo train inayosafirisha behewa 4 za abiria tena hata hazijai kwa siku?Umeona sasa ilivyokuwa mweupe kichwanil
Kwanini wakenya hampendi kusafiri? Yaani sipati picture kama ingekua ni Tanzania, hiyo train ingepiga kazi mpaka ichakae
Kwa siku Ubungo inapokea busses zaidi ya 2000 kutoka mikoani na nchi jirani hapo bado train kutoka Kigoma inabeba abiria 1000, Sijaongelea train kutoka Arusha wala TAZARA wala airports wala private cars and the same population is discharged the next day off from Dar






