Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo jamaa Simon amekuwa akinitafuta sana lakini leo amenipata. Yeye mwenyewe anajua tulipitana wapi. Nilimuomba babayao255 asipost details zangu humu lakini Simon akajiona malaika sana akaamua kunianika na mimi nikaamua kujianika zaidi. Details zangu naweza kuzipost zote. Na yeye asinimention.
Hahahahaha. Basi tulia wacha majivuno.
 
It's called Twitter na sio tweeter . Twitter is the app, tweeter is the person twitting
Sawa mchumba cku hz ata mm najishangaa sn nmekuwa mzembe kweli kweli, nilikuwa nawacheka wenzangu zamani kwmb unakoseaje spelling naona nowadays hilo jini linaniandama kweli kweli
 
Hongera mkuu km hii yako mana hata mm nina mpango wa kupiga CPA(T) so kwa hili nakupa kongole mana sisi wahasibu tunajua ugumu wa hii kitu, safi sana ila uwache kujiita mchumi jiite muhasibu.
Bro mimi nimesoma uchumi kwenye university. Nitakuambia mara ngapi? Mbona mnasumbua sana Watanzania? Ama lazima niweke certificates zangu za university ndio mkubali? Nimechoka kudebate. Uki insist basi nitapost kesho. Unikumbushe kesho. Nitapost transcript ya fourth year.
 
Kwenye CPA kuna unit inayoitwa quantitative analysis ambayo ni hesabu tupu. Syllabus yenu ya accounting sio sawa na yetu. Yenu pengine haina mahesabu lakini yetu baadhi ya units zina hesabu.
Hapa ndipo unapokunya, Tz ndipo mahali hesabu imezaliwa, nahisi ww ulisoma History, Geography and Economics at o level na hujawahi kabisa kusoma pure mathematics
JamiiForums24428454.jpg
 
katoa povu jingine kaandika hadi ‘gazeti’ la vyeti.. vyeti vyake mim vinanisaidia nn
Nijibu basi wewe mtoto wa kike. Niliona clip ile ukiwa na yule demu rafiki yako. Je yupo free nataka nije huko kenya anipe company.
 
katoa povu jingine kaandika hadi ‘gazeti’ la vyeti.. vyeti vyake mim vinanisaidia nn
Hzo ni tabia za kike..
Sasa umepost umefaidikia na nn jomba, tatizo ujamaa umekupoozesha akili
 
Yaani nimesema angalau kidogo Tony kaweka certificates zake tunaweza kumwajiri. Sasa wewe mtoto wa kike umesomea nursing utaosha wagonjwa vidonda vyao saa ngapi!?
Aka komora hahahaha.
Kumbe teargass ndio komora096 ckuwa najua aisee mana niliwatongoza wote
 
Hahah, mkuu spare my gamora. Hana majivuno ya Kijanga kama hawa wakenya debe tupu school dropouts
I assure you hata yule mzee wao MK254 hana shule..
Hahahahaaa MK254 alishaona huu uzi ni wamoto sn hawezi katiza hapa, ataishia kupita tu
 
Back
Top Bottom