Unaomba poo sioGeza Ulole usinitafute na usinianike maana tutakosana.
Gardener wa uhunye upo?mimi siweki certificate naweka payslip ndo ujue sibahatishi.
Mapanki, umenikumbusha ile documentary ya Darwin's nightmare.Hapana haya si mabondo ila ni mapanki kwa sasa nasikia yana soko sana Congo.
Mabondo si rahisi kuyakuta hovyo hovyo hivyo yana thamani kubwa.
CC: Tony254 ! Simo. ...Nimekutana nae youtube🤣🤣👇👇 akisifia mradi wa wachina wa miaka 30 huku wakilipishwa 7989ksh 😁😁😁 kwa kila gari zikienda kwa mchina
View attachment 1673271
Hili done tayari linatumika
Kampuni za Kenya ni za kichuuzi!, Katika Hotuba yake kasema katika miaka 10 tumelipa 10 USD kwa Chinese companies zinazofanya miradi hapa Bongo, na juzi tumewaongezea 1.3 Billion USD.
Kuna mwosha kinywa alikua anasema sisi Masikini. Kwa kuwa Mheshimiwa ka suggest wapotezee tu madeni ya zamani.
Mwingine kasema kenyan companies zinadominate Tanzania
Unaambiwa wana Kampuni 529 humu Bongo lakini zote zimeinvest 1.7 USD only. Hebu mkuu Geza fafanua hapa.
Makampuni mia tano Ishirini na tisa. Wakati kuna kampuni moja tu in 3 Billion Usd na hawasemi wamedominate.
Mbona unakaa kama umepoteza matumaini? Baada ya pipeline saahii JPM anaenda kuinyang'anya northern corridor biashara! After lot 5 signing JPM wants to combine lot 4 & 3 and float a tender for the last section for once and all in this year !Kwa hivyo wewe ng'ombe unataka kujifanya kwamba hujaona transcript yangu ya university ambayo nimepost watu wakaiona na nikaitoa. Wewe ni mjinga. Vipi hujaweka certificate yako hata moja kazi yako ni kudharau watu wengine na wewe hujasoma hata kidogo. Wewe huwezi kuniambia kitu hadi uweke certificate au transcript yako. Vinginevyo siwezi kuargue na low IQ fool like you.
Ndinda acha masiharaile cruiser bei yake ni motoo
![]()


, Noma sana Mkuu. Hiyo Machine inafaa sana.Fact ni kwamba nimesoma kushinda wengi wenu. Endelea kunichokora. Hata utagundua kwamba nimeishi Europe. Endelea kunipekuaNimekutana nae youtube🤣🤣👇👇 akisifia mradi wa wachina wa miaka 30 huku wakilipishwa 7989ksh 😁😁😁 kwa kila gari zikienda kwa mchina
View attachment 1673271
Nilikuambia usiweke certificates zako humu ukabisha!Fact ni kwamba nimesoma kushinda wengi wenu. Endelea kunichokora. Hata utagundua kwamba nimeishi Europe. Endelea kunipekua
Hata tukitifuana kwa mwaka mmoja bado itakuwa ngumu nyie kutupita. Mwaka mmoja ni kidogo sana. Mimi naona tu mnaweza kutupita ikiwa tutachagua rais aliye anti-development. Yaani rais ambaye hataki kujenga miundo mbinu. Tulikuwa na rais kama huyo na alikuwa anaitwa Moi. He was very corrupt na hakujenga barabara kilomita nyingi na wala hakujenga reli wala nini. Yaani aliturudisha nyuma sana kwa miaka 24 alizokuwa madarakani.Mbona unakaa kama umepoteza matumaini? Baada ya pipeline saahii JPM anaenda kuinyang'anya northern corridor biashara!
Halafu 2022 inakuja huku RAO huku Ruto lazma mtifuane muwe stagnant kwa mwaka mzima hivi kabla hamjasimama tena! By the time mmekaa sawa, JNHPP is up n running, EACOP is transmitting crude n SGR ito Mwanza is operating!
Nimekutana nae youtube🤣🤣akisifia mradi wa wachina wa miaka 30 huku wakilipishwa 7989ksh
kwa kila gari zikienda kwa mchina
View attachment 1673271


crap!Makayabo![]()
Hivi haya ndiyo mabondo?
Ni big deal sana kwenye fishing industry, nafikiri ndio product ya samaki ghali sana kwenye value chain, nawafahamu wafanyabiasha wa bondo tu ambao wapo vizuri mnoSio, Jana nilinunua samaki wakati wanasafisha nikauliza yale wanayotoa meupe ni mabondo? Wanasema hayo mabondo kabla hujauziwa samaki yanakua yameshachukuliwa ni deal.huwezi yaona.
Ni big deal sana kwenye fishing industry, nafikiri ndio product ya samaki ghali sana kwenye value chain, nawafahamu wafanyabiasha wa bondo tu ambao wapo vizuri mno
Bondo zenyewe ni hizi, zinapim
Wakati kwenye technical Secondary Schools za Tanzania, watoto wanaanza hizo issue form 1Kuna friend wangu alifanya electrical engineering without doing physics in form 3&4. Don't ask me how cause I don't know how he managed to do it![]()