Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Makupa round about mombasa, notice the concrete.
makupa-roundabout.jpg
makupa-6-1024x549.jpg
 
As far as I can remember in Kenya those circuit things are done in form two. So it's possible he had the foundation for it. But proper Secondary physics that starts from form three he didn't do. Trust me cause I'm a witness.
Electricity is more than circuit things, hiyo intro ya physics haitoshi ukilinganisha na advanced physics. how come anapokelewa bila kujua hata advanced electromagnetism.
Hiyo physics ya form two haina hata intro ya magnetomotive force, electromotive force, n.k
 
Nimetoka Church. Leo ilikuwa zamu yangu ya kuhubiri.

Somo: IMANI
2Wakorintho 5:7
Leo watu wengi sana wameelewa kuhusu Imani wamenifuata na kuwafanyia maombi ya deliverance. Watu wengi wamefunguliwa.

Basi kama wakenya wataendelea kubisha nitawaletea somo zito la huduma 5 na karama 9. Ninauhakika baada ya hapo wataanza kujua masuala ya kiroho.
Kumbe watumishi tupo wengi, hahaa
Imani ni somo pana barikiwa mtumishi
 
Uyu mzungu amenishtua kidogo...inama kunya kujenga mastation makubwa nirobari na msa train ya abiria ni moja tu kwa siku? Real nyie mnafaa kujitafakari sana alafu akuna hata biashar wala nini zinazo fanyika kwa izo stations zaid ya kuwekwa km makumbusho na masanam
Msikilize jamaa kuanzia dakik 2: 19View attachment 1673733View attachment 1673734
Mbele kidogo hapo anasema katika safari ya saa 4 kutoka Mombasa kwenda Nairobi hata lisaa halijaisha tayari kashaingia vichakani kwenye wanyama pori na nyumba za tembe

Statistics zikiwaambia wakenya Tanzania is the most urbanized country in the region wanalia.
 
Mbele kidogo hapo anasema katika safari ya saa 4 kutoka Mombasa kwenda Nairobi hata lisaa halijaisha tayari kashaingia vichakani kwenye wanyama pori na nyumba za tembe

Statistics zikiwaambia wakenya Tanzania is the most urbanized country in the region wanalia.
Umeona sasa ilivyokuwa mweupe kichwanil
 
Uyu mzungu amenishtua kidogo...inama kunya kujenga mastation makubwa nirobari na msa train ya abiria ni moja tu kwa siku? Real nyie mnafaa kujitafakari sana alafu akuna hata biashar wala nini zinazo fanyika kwa izo stations zaid ya kuwekwa km makumbusho na masanam
Msikilize jamaa kuanzia dakik 2: 19View attachment 1673733View attachment 1673734
Umeona sasa tangia wewe na mzungu wako mlivyokua wajinga..
Tatzio huna exposure
 
Mbele kidogo hapo anasema katika safari ya saa 4 kutoka Mombasa kwenda Nairobi hata lisaa halijaisha tayari kashaingia vichakani kwenye wanyama pori na nyumba za tembe

Statistics zikiwaambia wakenya Tanzania is the most urbanized country in the region wanalia.
Fact
 
Umeona sasa tangia wewe na mzungu wako mlivyokua wajinga..
Tatzio huna exposure
Umesha anza kulia yani nyie niwajinga...sasa unamtukana bwana enuu kisa kasema ukweli...hawezi ropoka tu ndio ratiba ushuzi yenu
 
Back
Top Bottom