Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar es Salaam Stadium, the best in the Region and among the best in the Continent
IMG_20201014_224557.jpg
 
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112] makofi. mengi ya kutosha kutoka kwa Mr.Tony wanjigu kwa kusoma kuliko wengi kati ya wote humu JF [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


kweli dunia haishi vituko
Mi nimempotezea maana naona anaelekea kusiko! Huyuhuyu Tony254 asiyejua tofauti ya public na private companies! ?
 
leo najambo langu wakuu....

ajitokeze mkenya yeyote aliyetimamu au chizi tupige battle ya wasaka tonge

TITTLE
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Tanzanian poverty life Vs Kenyan poverty life
 
Sasa basi kwa nini bado huwa unanimention? Mbona usinipotezee kabisa?
U need to behave! Good u have achieved sth careerwise ila isi-generalize vitu! Jamaa wa software engineering has a chance to be a US$ millionare by far in comparison to you Mr CPAK!
 
leo najambo langu wakuu....

ajitokeze mkenya yeyote aliyetimamu au chizi tupige battle ya wasaka tonge

TITTLE
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Tanzanian poverty life Vs Kenyan poverty life
Hahahaha umewaona ni mafala kiasi hicho? Hakuna mkenya wa kulinganisha hali duni ya Kenya na Tanzania sababu wanajijua walivyo hovyo
 
Hahahaha umewaona ni mafala kiasi hicho? Hakuna mkenya wa kulinganisha hali duni ya Kenya na Tanzania sababu wanajijua walivyo hovyo
mkuu wakenya ni matajiri aisee usiwachukulie poa yaani ni madon nchi nzima....wapo next level[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom