Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Mkuu mapanki si yale skeletons baada ya filets kuondolewa, miaka ya nyuma kidogo kulitokea scandal kubwa kutokana na documentary yake wazungu waliitengeneza mpaka ikajadiliwa bungeni?Hapana haya si mabondo ila ni mapanki kwa sasa nasikia yana soko sana Congo.
Mabondo si rahisi kuyakuta hovyo hovyo hivyo yana thamani kubwa.
