Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtanzania na ukweli ni kama mafuta na maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hawapatani[emoji23][emoji23][emoji23]
Mrembo vp nije PM au mida yetu bado, we nambie tu saa ngp nije PM tuendelee na mambo yetu, hii maneno mbofu mbofu tuwaachie wenyewe au unasemaje [emoji7][emoji7]
 
Msalaba[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nakukazia mpk nakung'oa kudadadeki, watu humu wanashangaa kwnn nakukazia, hawajui km nisha kusearch nmeona jinsi ulivyo mrembo na ndiyo maana ntakukazia mpk uelewe mrembo teargass wallahi nakuambia sikuachi mpk unielewe.
 
Kuna watu wajinga sana eti wameona tumewazidi wanaanza kutafuta kasoro.

Yn mtu anaongea kabisa eti hapa haziwezi pita double stack wagons hahahahaaa hizo contena zina urefu wa two storeys building auu, ebu ona watu walivyo wajinga angalia mwenyewe [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
JamiiForums-1388609636.jpg
 
Alitudangaya kweli ila katoa sababu za kuanzia diesel alafu ujue treni yetu inaiwezo wa kuendeshwa kw umeme pia..

Ni mda tu ndio utasema ila kwa sasa najua utapinga
Iendeshwe na umeme upi kwa mfumo gani 🤣🤣🤣🤣🤣 wakat reli yenyewe tayar imeishia machakani 😅😅😅
 
Angalia urefu wa hizo bati af angalia hizo cartenary poles so contena zikiwekwa mbili kwmb zitavuka hilo bati?
JamiiForums-1388609636.jpg
 
Hehehe!!umeanza kulialia, yani hyo imemaliza kila kitu na drone ilikua inachukua kila kitu[emoji1787][emoji1787]
Kulia gani au mkiambiwa ukweli munakua wakali 🤣🤣🤣🤣🤣 sasa njia za kupishania treni hua zinajengwa bure nijibu basi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] propagandist huyu hapa, Tz phase one hata kwa hiyo "pesa zetu" haikutosha[emoji23][emoji23]
[emoji23], kwa sasa all other phases mukulu amekopa,unajaribu kutubeba ujinga kama mlivyo bebwa kishenzi na CCM?[emoji23][emoji23][emoji23] na huo uchumi wenu hafifu, with a big population, more poverty loading, we can bet! your economy haina capacity ya kujisimamia wala kulipa madeni kubwa![emoji23][emoji23][emoji23] jitekenye tu kisha cheka kabisa![emoji23][emoji23]
evidence pliiiiizz wacha bra braa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

inauma sana
 
Back
Top Bottom