Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe. 😂😂😂😂👇👇👇


IMG_20210107_235659_281.JPG
 
Mtandao wa reli ndio km 300, 205km njia kuu 95km zakupishana
Kheeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwhyo double track ingelikua 400km sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maskini midanganyika
 
Iendeshwe na umeme upi kwa mfumo gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakat reli yenyewe tayar imeishia machakani [emoji28][emoji28][emoji28]
Haina haja ubishe, mda ndio utasema
 
niwe mnyonge na nina train modern kukuzidi[emoji23][emoji23][emoji23]

hata ikae single bado ni bora 10* kuzidi hizo gallons za chang'aa.
Sgr dume linapiga misele mwaka wa nne huu[emoji1787][emoji1787]
Hamna breakdown wala sijui nini, kweli mitungi ya changaa mizuri..
 
Sisi ndio wenye reli ya umeme nyie hamtawahi kuwa nayo lkn unatubishia, kwnn mnabisha kitu ambacho mnakiona kwenye TV tu?
Kwhyo container itapitia juu ya hicho chuma kilichokatiza mpka ndani ya njia ya treni[emoji1787][emoji1787]

Kweli umechanganyikiwa
 
Kheeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwhyo double track ingelikua 400km sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maskini midanganyika
Swali lako halima uhusiano kabisa na majibu yake kakujibu njia kuu ni 205km na njia za kupishania treni ni 95km 🤣🤣🤣🤣 mambo ya double stack yana uhusiano gani na majibu hayo
 
Swali lako halima uhusiano kabisa na majibu yake kakujibu njia kuu ni 205km na njia za kupishania treni ni 95km [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo ya double stack yana uhusiano gani na majibu hayo
Soma vizuri uelewe[emoji1787][emoji1787]
"Hapo nimesema double track"
Sasa ndio munijibu vizuri, ingelikua double track hyo treni ingelikua 400km[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najua hapa utanengua mpka niamue kukuacha tu mwnywe
 
Back
Top Bottom