Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro hapo pa ku talk less and do more umedanganya[emoji23][emoji23][emoji23] mnapayuka sana! Kelele kibao kutoka kwa mukulu na uzinduzi, mawaziri, na raiya, ni muda mrefu hamjaona maendeleo bado mnashangaa shangaa! Mlianza kwa kusherehekia lift, sasa ni flyovers na ni chache bado[emoji23] wenzako wanakiri[emoji23][emoji23]
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1671016
Hawa ni Manyumbu wapinga Sirikali...Hebu leta hizo flyover wanazosemea....usilete ile ya matofali please
 
Sasa hao ndio wenye tender bado unataka kubishana nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]

Wenye tender hawa hapa...
Utadanganya maboya nakwambia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo ni kutoka kwa mturuki aliyepewa tender wala sio google..
20210107_213009.jpg
20210107_213103.jpg
 
Mbona phase 1 hakuna mkopo hukuongea hilo na bado phase two 1.4b ndio mkopo na hzo zingine katoa nani???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani kakudanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shida sio inferiority complex, shida ndio hii hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

View attachment 1671096
Yah ndiyo maana tunafanya mambo ambayo hutaona Kenya kwa miaka 100 ijayo, ona [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205][emoji204]
JamiiForums-1762913474.jpg
Screenshot_20210107-154401.jpg
JamiiForums460492752.jpg
Screenshot_20210102-171150.jpg
JamiiForums1480940486.jpg
JamiiForums-1492310140.jpg
 
Wajuba emu tusaidieni jamani,
Hizi poles za ethiopia na tz zinatofauti gani kiurefu jamanieeView attachment 1671100View attachment 1671101
Shule kweli muhimu jamani mtu anashindwa kuona hiyo pole imeachwa urefu kwmb inaweza kuongezwa, ya huoni kwamba icho chuma ni kirefu zaidi na kwmb kinaweza kuongezwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
JamiiForums-714189654~2.jpg
 
Hahahah!!pesa za kununua treni hakuna[emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anakimbilia mbele jua hku nyuma yamemfikia puani na wala hajui atajitoaje[emoji1787][emoji1787]
Hela za loan kipande cha pili zimeingia tatizo treni hamna mtazindua kitu bila treni
Mwaka huu ndio utajua kama hakuna hela ya treni au vp...kwa sasa unaweza kusema chochote tu
 
waoneeni huruma jamaa.. wanatafuta vitu vya kuwapunguzia maumivu [emoji23][emoji23][emoji23]
sikuhiz hawaisifu tena Chinese Class One[emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikua zamani sana izo story
 
Yah ndiyo maana tunafanya mambo ambayo hutaona Kenya kwa miaka 100 ijayo, ona [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205][emoji204]View attachment 1671232View attachment 1671235View attachment 1671237View attachment 1671242View attachment 1671248View attachment 1671249
Hahaha jamaa amekamua sio mchezo
Mmeshaambiwa Dar itakua kama Ulaya nadhani miradi mingi ya madaraja reli na barabara inakuja Dar. ..mji unanyooshwa kwa kasi ya light
 
Back
Top Bottom