Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only Kenya and UG has quality roads in EA[emoji122][emoji122][emoji122][emoji7][emoji7]
Kenya
View attachment 1671168
Uganda
View attachment 1671183
Ipo hatua za mwisho kua tayari
20210107_122042.jpg
20210107_122355.jpg
20210107_122343.jpg
 
Hizi Vocational Education & Training Authority ni colleges zilizopo countrywide najua wakenya haya mambo hawana

Nilikua nataka nianze battle yake ila baada ya kuingia chimbo kufanya evaluation analysis ya experience ya battle ya shule, nimetafakari nikaona niwasamehe tu sababu ni kama kuua mbu kwa hydrogen bomb

Nimekuja kujua watanzania tuna the best practical education system Africa

View attachment 1671184View attachment 1671185View attachment 1671186View attachment 1671187View attachment 1671188View attachment 1671189
Practical education system ndio kituko gani hicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watueeee Teargass Tony254
 
Talking of the whole project wewe KILAZA over a thousand km as u indicated idiot!😂😂😂, kama ni phase one pekee 3 years ni nyingi mno!!, with those ugly looking stations!
Phase 1 300km 92%
phase two 422km 40%
phase five ndio hio inaanza

huoni ni kazi kubwa sana inafanywa 🤣🤣 nilijua hii habari lazima iwaume mukose usingizi
 
Phase 1 300km 92%
phase two 422km 40%
phase five ndio hio inaanza

huoni ni kazi kubwa sana inafanywa [emoji1787][emoji1787] nilijua hii habari lazima iwaume mukose usingizi
Siku hizi 200km imekua 300km[emoji1787][emoji1787]
Alafu mbona tangia nov2019 ilikua 80%
 
History made Chato Airport has received intercontinental flights before the so claimed international Airport at Kisumu!



CC: Tony254 Teargass

Geza siku hizi kichwa chako hakifanyi kazi vizuri. Hii ndege ambayo imetoka DR Congo ndio unadanganya watu kuwa imetoka China? Hii sio intercontinental flight maana ndege hio haikutokea continent nyingine bali imetoka hapa DR Congo na kutua Chato kwa hivyo hio ni intra-continental flight na sio inter-continental flight. Wacha pupa. Huyo FM Wang Yi alienda DR Congo kwanza na hio ndio iliyokuwa inter-continental flight maana flight hio iliondoka continent la asia na kutua Africa
 
Phase II Washafika 52% complete
Hahahah!!pesa za kununua treni hakuna[emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anakimbilia mbele jua hku nyuma yamemfikia puani na wala hajui atajitoaje[emoji1787][emoji1787]
Hela za loan kipande cha pili zimeingia tatizo treni hamna mtazindua kitu bila treni
 
Robert Alai mwenye aliweka picha za SGR eti flyover zinaporomoka? this is a sadist anatafuta traffic na likes, how sure are u ni picha za 2020? Tazama na Tanzania mlivyo ovyo na mnajidai hamuna ufisadi, hamkufunga uchumi, kwa pesa za ndani, hapa kazi tu narratie etc

View attachment 1671141

View attachment 1671142

Tazama hardship yenye watoto wa Tanzania mashinani wanapitia sasa mtasingizia nini? afadhali sisi kwetu tutasema ufisadi na ukame hivi., nyie hii ni laana ya kiaina!!
View attachment 1671145
Challenges of school children in Tanzanian villages.

View attachment 1671153

Kwa hili pia nyinyi mjichunguze sana!! Pambaneni na hali yenu!
Bora ufunge ilo bakuli kuliko kujitetea km jinga...
 
Battle ya Vocational Education saa ngapi tuanze? [emoji316][emoji316][emoji316]
Anytime kijana, huaga hatuna mda sisi wakuangamiza..
Manake tukilianzisha sisi mnakimbia km battle ya shule za msingi...
Tz shule za msingi ni zero[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anzisha tukuchape vibaya sana
 
Back
Top Bottom