Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm mwenyewe nashangaa ameng'ang'ania kweli kusema wamepost shule, shule gn wamepost humu zaidi ya zile tatu zote zipo Nairobi na ni za kanisa
Kisago walichopata kwenye shule hawatakaa wakisahau, tukawapa mapumziko ya siku 2 yule coco bata mpaka leo bado yupo mapumziko, Simba 254 nae ilibidi aage kabisa akasema hatokaa aonekane ila saivi kaibuka 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona una crop picha bana, achia bana tuone kitu chenye urefu wake bana..
Au unafikiria ni zile dwarf za kwenu..kisha usioindishe mada hapa tunaongelea height za pole wala hatuongelei hicho unachotaka kukileta
Ulipima kwa macho au kwa kipimo? Em Jaribu kuargue with sense sometimes 🚮🚮🚮
 
Semeni mturuki kawapiga baada ya kuona nikm atawapa kitu cha maana yeye akaleta kituko cha mwaka..
Sasa mumeamua kurudi kw wenye kazi hzo, wachina hakuna wakumzidi hyo sector..
Hela yako ndio itamshawishi

Mpunga km haueleweki anakudungia kitu km cha ethiopia, ukileta ujuaji anawapiga km nigeria
Kama ungekuwa umefika Ubungo interchange ukaona kazi waliofanya hao wachina usingeongea hivyo

NB: wachina huwa wanaishi na wewe jinsi ulivyo
 
Sisi wenyewe tunaelewa ndio maana tupo kimya, najua kukuelewesha ni kupoteza muda ila ukitaka kupata pa kuanzia checki progress ya moro - dom bibie
Unaelewa wewe na nani, ulielezwa lini mpka ukaelewa
 
Sio mambo ya njoa za kitapeli, ubora wa reli yake na hela yenu ndogo..sasa mlitaka afanyeje lazima atajitoa

Kisha kinachonishangaza european standards imekaa kimeko meko vile...
Msijali atawakomboa katika hilo janga ambalo mturuki alikua anataka kulileta
Komora nimegundua ukipata mtu wa kupanda mtungi unakuaga so busy, ila akishakuchoka na kukumwaga unapotezaga sana muda na mijadala ambayo uhalisia uko wazi huku ukijaribu kupotosha
 
Kama ungekuwa umefika Ubungo interchange ukaona kazi waliofanya hao wachina usingeongea hivyo

NB: wachina huwa wanaishi na wewe jinsi ulivyo
Tatizo pia km hutofikia hela anayotaka anakuacha tu km mlivyokosana kauli katika face ya kwanza
 
Total Secondary schools in Kenya - 9,900
Total Secondary schools in Tanzania - 4,800


😂😂😂👇👇👇

IMG_20210106_200406_503.JPG




IMG_20210106_200323_041.JPG
 
Komora nimegundua ukipata mtu wa kupanda mtungi unakuaga so busy, ila akishakuchoka na kukumwaga unapotezaga sana muda na mijadala ambayo uhalisia uko wazi huku ukijaribu kupotosha
Tatizo hampendi kuambiwa ukweli, tena sio nynyi pekeake mpka serekali yenu ikiambiwa ukweli huaga wanakua wakali sana na vitisho juu
 
Back
Top Bottom