Ayo makaratasi Chini VP?Kibera sec imeizidi kw mbali sana huo ushuzi wenuView attachment 1670938
Kweli umeongea kama kichaa😂😂🤣SGR Mombasa to Nairobi kilometers 480 mkopo wenye thamani ya GDP nzima ya Kunyaland
Tanzania saivi ina kilometres za SGR zaidi ya kilometers 1100 under construction kwa pesa zetu 😅😅😅
Na bado miradi mingine ya billions of dollars inaendelea, JPM kweli we mwanaume 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😅
Za Ethiopia looks taller.Wajuba emu tusaidieni jamani,
Hizi poles za ethiopia na tz zinatofauti gani kiurefu jamanieeView attachment 1671100View attachment 1671101
Kwn tz kuna treni za umemeKimsingi hatuna chakujifunza kwenye gari moshi lenu la 1970
Tena camera man wao mjanja sana, kachukua picha kichini chini kusudi ndio awakanganye wana lumumbaZa Ethiopia looks taller.
better utulize kiuno mpaka train zifike,au unaonaje???Tena camera man wao mjanja sana, kachukua picha kichini chini kusudi ndio awakanganye wana lumumba
Ilo bweni la form sixTanga technical sec school. 126 years old View attachment 1671003View attachment 1671004View attachment 1671005
LOL naona umekuwa mpole baada ya kuona hii single sided power polesPoles za ethiopia na zenu zina utofauti gani kiurefu jombaView attachment 1671095
😂 😂 😂 😂 😂 propagandist huyu hapa, Tz phase one hata kwa hiyo "pesa zetu" haikutosha😂😂SGR Mombasa to Nairobi kilometers 480 mkopo wenye thamani ya GDP nzima ya Kunyaland
Tanzania saivi ina kilometres za SGR zaidi ya kilometers 1100 under construction kwa pesa zetu 😅😅😅
Na bado miradi mingine ya billions of dollars inaendelea, JPM kweli we mwanaume 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😅
Wakunya hata colleges zenye hadhi hiyo hawanaIlo bweni la form six
Ukiwa mdebwedo wanakumbwigambwiga!Wachina wanafanya kazi kulingana na wewe ulivyoView attachment 1671112
Tanzania tunajenga zaidi ya kilometres 1100 ndani ya miaka mi3 tumeajiri kwa pesa zetu na mambo yanaenda kwenye miradi mingine ya billions of dollars😂 😂 😂 😂 😂 propagandist huyu hapa, Tz phase one hata kwa hiyo "pesa zetu" haikutosha😂😂
😂, kwa sasa all other phases mukulu amekopa,unajaribu kutubeba ujinga kama mlivyo bebwa kishenzi na CCM?😂😂😂 na huo uchumi wenu hafifu, with a big population, more poverty loading, we can bet! your economy haina capacity ya kujisimamia wala kulipa madeni kubwa!😂😂😂 jitekenye tu kisha cheka kabisa!😂😂
Wivu itakunyonga kaka 😛 😛 😂 😂 unatamani sana fikra zako ziwe kweli lakini haliwezekani😂😂😂, higher education ndio hata hampo kabisaaaa!!😂😂😂 anyway "dreams are valid"., keep trying tu...,Wakunya hata colleges zenye hadhi hiyo hawana
Phase one imechukua muda gani?., tuanze hapa.,Tanzania tunajenga zaidi ya kilometres 1100 ndani ya miaka mi3 tumeajiri kwa pesa zetu na mambo yanaenda kwenye miradi mingine ya billions of dollars
Ninyi hamna mradi hata mmoja wenye thamani ya dollar billion 1 lakini wafanyakazi wana miezi 6 hawajapata hata cent 🎃🎃🎃🎃