Ilooo ni dubwana siyo mchezo hata kidogo....[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Nani anayetaka kutembelea v8 za kawaida wewe, ila heri wamepigwa kalamuSio tunawafukuza kosa waliofanya wanatakiwa watumie v8 za kawaida wao wameenda kununu V8 sahara inakua expensive zaidi
Labda bingwa wa kuagiza mitumba toka kwa wazungu😁😁😁Na bado Kenya ndio bingwa wa textile production eac
Ila kuna baadhi wamejitutumus na kununua za kwao, pia vile vile naona km ngoma drawa mbona..pesa ya kununua hamuna kwani hushangai wabunge watanzania wanatumia V8 sahara wakat wabunge wakenya wanatumia prado
Kwetu v8 naona ni za magavana na mawaziri km sikoseiMm nimeshangaa sanaa yani regional commissioner wa Tanzania anaendesha magari mazito kuliko rais wa Kenya wakati regional coordinator wa Kenya wana Land Rover
Velar toleo la nyuma nyuma basi km ni hvoHio inaitwa range rover velar [emoji116][emoji116]
View attachment 1660810
Mtumba wa train sio sawa na box body ya mabasi ya mwendo kasi hiko kazima ulijue..Labda bingwa wa kuagiza mitumba toka kwa wazungu[emoji16][emoji16][emoji16]
RC wa kili nilimuonea huruma kw kweli, lkn pia ni km hvo..Kwa hivyo huyo RC wa Dar anapendelewa kushinda Ma RC wengine? Mbona yeye ana magari mazito ya kutisha kushinda hao ma RC wengine?
Ukiona hivyo ujue wanauhakika wa kuwapuna hela zaidi ya miaka 60, hata bagamoyo walisema ni miaka 33 kuja kureview tukakuta kuna mtegoWachina wanakimbiza mradi huu kama baiskeli ya kuibiwa
View attachment 1659885
Pillars kadhaa tayari zimekamilika. Ujenzi wenyewe hata haujamaliza miezi minne
Hv uyu jamaa wa sasa hv anaizo mbwembwe Za Makonda?Unamuita ng’ombe huyu [emoji116][emoji116][emoji116]
Regional commissionerView attachment 1660769View attachment 1660770View attachment 1660771View attachment 1660772View attachment 1660773
Hili dude litasababisha majirani wauane 2022waiting for this jiwe to start being constructed in 2021!
![]()
Huu ndio ufala tusioutaka huu, kwnn unarudia rudia mipicha huoni kama unaitesa server?AVOCADO,TEA,MACADAMIA,FLOWERS and COFFEE View attachment 1660644View attachment 1660645View attachment 1660646View attachment 1660647View attachment 1660648View attachment 1660648View attachment 1660648View attachment 1660650View attachment 1660648View attachment 1660649View attachment 1660650View attachment 1660650View attachment 1660651View attachment 1660652View attachment 1660653View attachment 1660656View attachment 1660657View attachment 1660658View attachment 1660659View attachment 1660660View attachment 1660661View attachment 1660662View attachment 1660665
Ya Kenyatta ni bullet proof kwa body na hata kwenye vioo. Hii pia ni bullet proof?
Jamii forums aloo imewaamsha sn Wakenya, walikuwa hawajui km Tz imeendelea kuliko wao maskini ya Mungu [emoji2][emoji2][emoji2]Nyingine hio BMW
View attachment 1660738