Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Akiluletea nitag
Kwhyo hilo hapo chini sio pullman sio, sasawa
Mumeshinda
images.jpeg-35.jpg
 
Wakenya mmesafiria sana nyota yetu ila mwisho wenu umefika,Tatizo namba moja lilikuwa ni Cold storage facilities....Mizigo mingi tz ilikuwa ikipitia Jomo Kenyatta kwenda ulaya mwisho wa siku inahesabiwa kama ni yenu,hili limepatiwa ufumbuzi, Swissport wameexpand cold storage na kuiboresha kwa kiasi kikubwa sana,just wait and see,kuvunjika kwa ndoa yenu na KLM ni pigo jingine... Kwa taarifa yako KLM ndo kinara wa usafirishaji wa Mboga mboga,Matunda,Maua na n.k kwenda Europe...na alikuwa akiwa favor sana Wakenya kwa sababu ya hiyo ndoa.Tanzania tunahitaji kwnd nae vizuri huyu jamaa atatufaa sana jirani kaonekana ni myeyushaji tu...tupa kule.
IMG-20201204-WA0011.jpg
 
Soma hapa tony, nakusaidia kuona kilichoandikwa hata kama ume block utaona utake usitake
Basi muambie huyo mwenzako ajifunze kuongea kiungwana kama Wabongo wenzake. Nyie Wabongo mna sifa nzuri ya kuwa na heshima na upole. Akibadilika nitam unblock.
 
Back
Top Bottom