Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona kuna nyimbo nyingi sana za Bongo flavor zilizochanganywa na Kiingereza? Sikiliza nyimbo za Navy Kenzo, Rosa Ree na Vanessa Mdee then utaelewa! Vipaji ni vipaji tu, kama Kenya hakuna kaa kimya!
Navy kenzo na rosa ree hawaimbi bongo fleva
 
Hili nalo ni jitu la 44 floors ambalo limeanza kuamka. Linaitwa 88 tower. Litakuwa the second tallest residential tower in Africa. Itakuwa one of the tallest buildings in East and Central Africa. Watu wataishi hadi kwenye floor ya juu kabisa ya 44 ambapo wataweza kuona mount Kilimanjaro kutoka Nairobi.

View attachment 1659872

Kabla hamjaanza kulia kwamba nawapa renders basi ndio hizi picha zenyewe. Ujenzi wa foundation umeanza rasmi na nitakuwa nawapa updates.


View attachment 1659874View attachment 1659875
View attachment 1659880


View attachment 1659877View attachment 1659879
Hili jengo naliskia toka 2016 🤣🤣🤣🤣 muna masikhara sana nyinyi kwa sasa ww post render manake hakuna progress ya maana bado
 
Hili jengo naliskia toka 2016 🤣🤣🤣🤣 muna masikhara sana nyinyi kwa sasa ww post render manake hakuna progress ya maana bado
Kwa hivyo unajitia hamnazo? Nimekuwekea picha za ujenzi wa foundation halafu unasema kuwa hakuna progress?
 
Wachina wanakimbiza mradi huu kama baiskeli ya kuibiwa


ezgif.com-gif-maker.jpg




Pillars kadhaa tayari zimekamilika. Ujenzi wenyewe hata haujamaliza miezi minne
 
Back
Top Bottom