TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Lamu port ni kubwa kuliko ports za Tanzania combinedMwaka ujao unamaanisha 2021!?
Sasa bandari zote za Tanga, Mtwara, Kwanza na za ziwa Tanganyika zitakuwa tayari before hiyo siku.
Lamu port ni kubwa kuliko ports za Tanzania combinedMwaka ujao unamaanisha 2021!?
Sasa bandari zote za Tanga, Mtwara, Kwanza na za ziwa Tanganyika zitakuwa tayari before hiyo siku.
Wakenya mmesafiria sana nyota yetu ila mwisho wenu umefika,Tatizo namba moja lilikuwa ni Cold storage facilities....Mizigo mingi tz ilikuwa ikipitia Jomo Kenyatta kwenda ulaya mwisho wa siku inahesabiwa kama ni yenu,hili limepatiwa ufumbuzi, Swissport wameexpand cold storage na kuiboresha kwa kiasi kikubwa sana,just wait and see,kuvunjika kwa ndoa yenu na KLM ni pigo jingine... Kwa taarifa yako KLM ndo kinara wa usafirishaji wa Mboga mboga,Matunda,Maua na n.k kwenda Europe...na alikuwa akiwa favor sana Wakenya kwa sababu ya hiyo ndoa.Tanzania tunahitaji kwnd nae vizuri huyu jamaa atatufaa sana jirani kaonekana ni myeyushaji tu...tupa kule.Kenya is the number in Africa in avocados production
Also flowers we lead in Africa
Mi nataka gari lake official km vile hili la kenyatta..Moja wapo hii hapa
View attachment 1660664
Na bado Kenya ndio bingwa wa textile production eacCotton production in Tanzania.
Kenyans are lazyView attachment 1660487View attachment 1660488View attachment 1660489View attachment 1660490
biashara inaendelea.....From no 10 to number 2 in africa within a year heheheh![]()
Evidence !Na bado Kenya ndio bingwa wa textile production eac
Kabishane nae yupo chamwino, mie messenger tuhata wewe pia umesema.......
huku hamna kitu msijidanganye......
sawa soon nitawasiliKabishane nae yupo chamwino, mie messenger tu
Evidence? hii kwenye picha si s600 Maybach Pullmann! In EA only Museveni has that model!Mi nataka gari lake official km vile hili la kenyatta..
Mercede benz-pullman s600 guardView attachment 1660671
Kwn hilo gari kwa picha we unaona ni la aina gani ukiliangaliaEvidence hii ni s600 Maybach Pullmann? In EA only Museveni has that model!
Evidence !
Achana nae mkuu, sijui ka panic au n nn
Wanapost picha za mashamba wanafikiri wametupikuAchana nae mkuu, sijui ka panic au n nn
3bearths 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lamu port ni kubwa kuliko ports za Tanzania combined
Unakingine 🤣🤣🤣👇👇Mi nataka gari lake official km vile hili la kenyatta..
Mercede benz-pullman s600 guardView attachment 1660671
Akiluletea nitag🤣🤣🤣Evidence !
Alteast 5 hujapata bado 🤣🤣🤣🤣Narudia tena in east and central Africa Kenyan companies dominate
Tanzania pekee iko na 529 Kenyan companies maswali mengi muulize magufuli
Tatizo lako icho we unamatatizo, kila kitu unaona ni malumbano..