Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna nchi isokua na maskini kwanza inabidi ufahamu ila umaskini mbaya zaidi ni ule umaskini wakukosa chakula kama ilivokua kwa wakenya watu wanauwana kwa chakula cha msaada kwa kugombani, alaf mukija hapa munasifu GDP
Chakula cha mgao popote pale watu watagombania, hyo haimaanishi km hyo unayempa hicho chakula hajala..

Hzo ni hulka na tabia za mtu husika tu wala halihusiani na njaa wala nini
 
Hiyo sio velar ni vogue
Mimi imenichanganya kidogo huo muundo wake jomba, manke mi najua velar ipo hivi
images.jpeg-41.jpg
 
Gavana ni choice yako, magari yao hayahusiani na serekali kuu..
Wengi wanatumia v8
Ok but huku mawaziri na manaibu waziri wabunge, wakurugenzi wa jiji, mayor wote v8 au nissan patrol v8 new model mpaka pia taasisi za serekali wanatumia v8 like this one STK
4A8526AC-B880-4D83-A960-2D39464A4369.jpeg
 
Back
Top Bottom