Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ooh Haha. Mbona anaendesha magari makubwa kama infiniti. Yaani serikali yao inapoteza pesa kwa upuzi kama huo ilhali Wabongo wenyewe ni masikini wa kutupwa. Serikali yao inapaswa kutumia pesa vizuri.
Hiyo ndiyo Tanzania ndugu, nchi ina pesa hii na ina mbwembwe kweli kweli nadhani mnajionea wenyewe, gari ambalo hata uhunye hawezi panda huku kwetu anatembelea RC [emoji2][emoji2][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
 
Mm nimeshangaa sanaa yani regional commissioner wa Tanzania anaendesha magari mazito kuliko rais wa Kenya wakati regional coordinator wa Kenya wana Land Rover
Na bado nchi inafanya miradi mikubwa mikubwa kwa pesa za ndani unlike ur country, japo wabunge wenu wanatembea Prado lkn bado mnashindwa kulisha raia chakula, tukisema Tz ni promised land mnalia lia [emoji2][emoji2][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
 
Maajabu regional commissioner ana range rover
Ebu tuonyeshe magari ya magufuli
Hahahahaa taratibu mnaanza kutii, ngj aje teargass ataanza kuwabishia kwmb hzo mlianza kutumia toka zamani [emoji2][emoji2][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
 
Ila kuna baadhi wamejitutumus na kununua za kwao, pia vile vile naona km ngoma drawa mbona..

Kw sababu kimishahara pia wakenya wanapokea zaidi ya wenzao
Mishahara mikubwa alaf maisha magumu bado tena wanakwambia posho haziwatoshi🤣🤣🤣
 
Ila kuna baadhi wamejitutumus na kununua za kwao, pia vile vile naona km ngoma drawa mbona..

Kw sababu kimishahara pia wakenya wanapokea zaidi ya wenzao
Mishahara alaf maisha magumu bado tena wanakwambia posho haziwatoshi🤣🤣🤣
Velar toleo la nyuma nyuma basi km ni hvo
aliekwambia velar toleo la nyuma nani 2020 hio



04A095A6-D632-4324-9CF7-4EF839AA86EA.jpeg
 
Mishahara alaf maisha magumu bado tena wanakwambia posho haziwatoshi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata hko kwenu pia maisha magumu, tena ndipo nikakwambia..
Mbunge wa tz anatembelea gari kubwa mshahara wachini kenya mshara wa juu gari dogo..

Hali ile ile tu ya kiafrika afrika
 
Na bado nchi inafanya miradi mikubwa mikubwa kwa pesa za ndani unlike ur country, japo wabunge wenu wanatembea Prado lkn bado mnashindwa kulisha raia chakula, tukisema Tz ni promised land mnalia lia [emoji2][emoji2][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
Nionyeshe wabunge wa tz wakilisha raia hko chato
 
Haiwezi badili ukweli km kuna watu wanateseka, haya maisha ukijiona we unakula ujue kuna mwngine hana chakula
Hakuna nchi isokua na maskini kwanza inabidi ufahamu ila umaskini mbaya zaidi ni ule umaskini wakukosa chakula kama ilivokua kwa wakenya watu wanauwana kwa chakula cha msaada kwa kugombani, alaf mukija hapa munasifu GDP
 
Back
Top Bottom