Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gari za kifakhari ni kitu cha kawaida sana ikiwa mkurugenzi wa jiji anatumia v8 unshangaa nn nyie kwenu mbunge anatumia prado [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona basi mnawafukuza wakinunua v8 .
Nilikutana na moja mkurugenzi atimuliwa kisa kanunua v8
 
Gari za kifakhari ni kitu cha kawaida sana ikiwa mkurugenzi wa jiji anatumia v8 unshangaa nn nyie kwenu mbunge anatumia prado 🤣🤣🤣
Tangu lini Infiniti ikawa ni gari la kawaida? Halafu hio range rover aina hio hata huwezi kupata mbunge yeyote Kenya nayo.
 
Siasa za BBI wakat kashaharibu jina kwa ufisadi nyinyi ni nchi ya aina gani munaanza siasa miaka miwili kabla ya uchaguzi ??? Hayo maendeleo munafanya wakat gani
Wanasiasa wanapiga siasa, wananchi wanafanya kazi.
 
Ooh Haha. Mbona anaendesha magari makubwa kama infiniti. Yaani serikali yao inapoteza pesa kwa upuzi kama huo ilhali Wabongo wenyewe ni masikini wa kutupwa. Serikali yao inapaswa kutumia pesa vizuri.
Mm nimeshangaa sanaa yani regional commissioner wa Tanzania anaendesha magari mazito kuliko rais wa Kenya wakati regional coordinator wa Kenya wana Land Rover
 
Mm nimeshangaa sanaa yani regional commissioner wa Tanzania anaendesha magari mazito kuliko rais wa Kenya wakati regional coordinator wa Kenya wana Land Rover
pesa ya kununua hamuna kwani hushangai wabunge watanzania wanatumia V8 sahara wakat wabunge wakenya wanatumia prado
 
Tangu lini Infiniti ikawa ni gari la kawaida? Halafu hio range rover aina hio hata huwezi kupata mbunge yeyote Kenya nayo.
Hio inaitwa range rover velar 👇👇
37AEF798-F11C-41F1-92E5-904D2533ED25.jpeg
 
Punguzeni maringo. Sasa Infiniti, Range rover na Toyota Prado, gari zote tatu kwa binadamu mmoja? Serikali yenu mbona inapoteza pesa kwa mambo ya kipuuzi kama hii badala ya kuivest kwenye maslahi ya wananchi wa kawaida. Hii ni tabia ya capitalist countries sio socialist countries kama yenu. Mumeanza kufuata tabia za Nigeria na Kenya.
nchi yetu ni kubwa sana na miji yetu pia haiko karibukaribu 'inahitajika engine kubwa yenye uwezo wa kuamsha dar njombe njombe kigoma comfortably so hayo magari yanafaa kabisa
 
Mm nimeshangaa sanaa yani regional commissioner wa Tanzania anaendesha magari mazito kuliko rais wa Kenya wakati regional coordinator wa Kenya wana Land Rover
Hata hio range rover ni kali sana. Halafu magari kama infiniti ndio anazunguka nayo. Bwana these guyz are not serious. Si wametoka LDC juzi tu. Poverty in that country is very high hata kama wanajifanya eti wao ni matajiri. That money should be spent on other things.
 
Na maendeleo yaliofanyika huyaoni yanawatoa ushuzi leo na ni miaka 4 tu ya magufuli 😅😅😅😅
Wewe huoni kupea binadamu mmoja magari matatu mazito kama hayo ni kupoteza pesa ya kodi ya mwananchi?
 
Back
Top Bottom