Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakiambiwa mzigo ni 40 waelew....
Wewe unaona hizo numzikifika 40? Ama leo umepoteza macho?
tapatalk_1608447660795.jpeg
 
wewe sisi huwa tunaamini kama ujinga wako una afadhali kidogo,lakini hapa unathibitsha nawewe ni wale wale,kiazi wahed.

kwani za chini zinaitwaje!!!hii case ikiwa upande wenutatafuta maelezo yote kujazia kama kule kwenye floating bridge.
unaweza hesabu ukitakaView attachment 1654949
Floors huwa zinanza kuhesabiwa from above the ground and not below the ground. Hizo za below ground zinaitwa basement, nitakufundisha mpaka lini wewe?
 
Cheza na administration wewe.
 

Attachments

  • 11836418_11834068bvybmoypng1ef72b836ce9a75b61a6a6c7145dba9c_png223de33a5cbea9c55234447b987e58c3.png
    11836418_11834068bvybmoypng1ef72b836ce9a75b61a6a6c7145dba9c_png223de33a5cbea9c55234447b987e58c3.png
    12.5 KB · Views: 6
Back
Top Bottom