Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
We jamaa ni bonge la kilazaMimi si size yako dogo, njoo taratibuView attachment 1654926
We jamaa ni bonge la kilazaMimi si size yako dogo, njoo taratibuView attachment 1654926
Wewe unaona hizo numzikifika 40?Wakiambiwa mzigo ni 40 waelew....


Ama leo umepoteza macho?



Wewe ulishaona wapi basement zikihesabiwa?nikisema unakazwa ntawakosea heshima mabasha wako.
aliyesema wewe ni no 1 kwa ufalla hakukosea.


Floors huwa zinanza kuhesabiwa from above the ground and not below the ground. Hizo za below ground zinaitwa basement, nitakufundisha mpaka lini wewe?wewe sisi huwa tunaamini kama ujinga wako una afadhali kidogo,lakini hapa unathibitsha nawewe ni wale wale,kiazi wahed.
kwani za chini zinaitwaje!!!hii case ikiwa upande wenutatafuta maelezo yote kujazia kama kule kwenye floating bridge.
unaweza hesabu ukitakaView attachment 1654949


Narudia kukwambia hvi niletee kibao cha construction na unioneshe site ya ujenzi iko wap mm nafunga acc jamii forum mark my words![]()





Daaadek unafanya kwa Mlevi, mkilewaga mnaishia Aboretum gardenMimi si size yako dogo, njoo taratibuView attachment 1654926
hatushangai nyinyi ngumbu mpaka mnara huwa mnahesabu sio ajabu hapo.Wewe ulishaona wapi basement zikihesabiwa?![]()
huna elimi ya kunifunza mimi.Floors huwa zinanza kuhesabiwa from above the ground and not below the ground. Hizo za below ground zinaitwa basement, nitakufundisha mpaka lini wewe?![]()
kwahiyo unakiri ni 38 above the ground,ila 5 za chini hutaki kuzijuaichoboy01, @NDIDA. Where are you?Nyinyi ndio mlikanaza kuwa TPA ni 40 floors.
View attachment 1654973View attachment 1654974


Do you know how to count floors? Just say Yes or No.kwahiyo unakiri ni 38 above the ground,ila 5 za chini hutaki kuzijua![]()



hiyo haiondoi ukweli kwamba cbk ina 27Do you know how to count floors? Just say Yes or No.![]()

.Sio mimihuna elimi ya kunifunza mimi.
kwahiyo hao waliokwambia cbk ina 27 unaona ni vilaza ila weww ndio uongezes 3 hapo juu.



. 27+3=30hiyo haiondoi ukweli kwamba cbk ina 27.
wewe unajua kuhesabu kuliko aliyeijenga!!!




27+3=30.hiyo article yenyewe hamna mahali inasema ni 30floors onuesha


.Kumbe kusoma hujuiii





