Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ulipohesabu ulipata ngp vilee, na hapo subiri tuligeuze ili utii View attachment 1655200

mim nadhan.. suala la floors muachane nayo.. akileta hizo mada muumpuuzie..
ni jamaa huyuhuyu alisema Tanzania kuna maengineers 200.. na wao wapo 2000.. nikamletea proof kuwa tupo 20,000.. then na yeye akajitetea eti wapo 19,000 yan anapingana na alichokuwa anakitetea eti wapo 2000
 
Sasa mkiambiwa ukweli mnacatch feelings
mim nadhan.. suala la floors muachane nayo.. akileta hizo mada muumpuuzie..
ni jamaa huyuhuyu alisema Tanzania kuna maengineers 200.. na wao wapo 2000.. nikamletea proof kuwa tupo 20,000.. then na yeye akajitetea eti wapo 19,000 yan anapingana na alichokuwa anakitetea eti wapo 2000
 
Apo kuna upperhill ,westlands,Old CBD View attachment 1655198
Wacha tufunge hii kesi na posta,kariokoo,upanga vs Kilimani pekee
IMG_20201220_154822_808.jpg
IMG_20201220_154736_370.jpg


Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
 
mim nadhan.. suala la floors muachane nayo.. akileta hizo mada muumpuuzie..
ni jamaa huyuhuyu alisema Tanzania kuna maengineers 200.. na wao wapo 2000.. nikamletea proof kuwa tupo 20,000.. then na yeye akajitetea eti wapo 19,000 yan anapingana na alichokuwa anakitetea eti wapo 2000
Alinishangaza sn eti anajisifu wana ma engineer 2000 wkt Tz tuna ma engineer mpk wanamwagika
 
Back
Top Bottom