Waambie wakupe na jina kabisa tupatembelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa mombasa ni nini unaleta hapa kijiji unataka uweke kwenye line moja na dar.??
View attachment 1655408
Kwhyo wakati unajichekesha km anatumia simu ya kitambo ilkua wamaanisha nn km sio dharauNani kaongelea utajiri, wacha kujistukia bibie.
Decks hazihesabiwi kama floors acha ushamba,we unaweza kuita basement kama floorsNajua hizo floors tatu za juu zinakusumbua sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]. I have zoomed it for you.View attachment 1655000
Hahaha!!jibu zuri sanaKitu kama hio
Ugua pole pole mtu wangu[emoji1787][emoji1787]Unaweza kuipa jina lolote unaloweza. Hata unaweza kusema, "hapa ni Paris". No one will bother to argue.
[emoji23][emoji23]
Akikwambia ni wapi nitag 🤣🤣🤣🤣Kwa mfano mm nakuambia hapa ni Nairobi Kenya, haya na ww niambie hapo ni wapi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]View attachment 1655123View attachment 1655124
Kwa wakenya mna lugha?!!!!Naona lugha yetu inazidi kupaa🇰🇪
Thanks, that's what I wanted to know.Regent Estate, Dar Es salaam. In the Background you can see the Palm Village Shopping Mall and apartments. Here’s a recent photograph.
View attachment 1655407
Regent Estate, Dar Es salaam. In the Background you can see the Palm Village Shopping Mall and apartments. Here’s a recent photograph.
View attachment 1655407
Uahahhahaha umeniwahi tu bro ungeniachia nafasi nilikua namkanyaga ile mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umehara uharo ltr 100Sasa unapost picha ya kitambo hili ionekane kuna gorofa inajengwa Dar?[emoji23][emoji23][emoji23] Mbona uko desperate sana? Kama hakuna construction boom in Dar just accept it the way it is[emoji23][emoji23][emoji23].