Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

img]

 
Heri mikopo ya $140m kuliko msaada ya $35m[emoji23][emoji23][emoji23]. Yani hadi pesa kidogo kama $35m hamuezipata?[emoji23][emoji23]


Hao siwanajipendekeza ...sasa nyie ndio mnajipendekeza pipi nyie tena na mafuta mnachoma kwenda kuomba mil 100+ hahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu mko na gdp ya 100b mavi ya kuku kabisa nyie....fools
 
Uhuru na Kazi. Wengine hawana pesa, rais wao anatumia President wa China ujumbe wa "please call me"[emoji23][emoji23][emoji23]


mradi wa tsh 10bln nao ni wa kupigia kelele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hayo marekebisho yatafanywa bure? This kind of reasoning is the reason I usually call you a warthog[emoji23][emoji23]
Wcha kuleta sera fake hapa ....wazee wa 5km loan ....majinga ya mwaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha porojo mingi[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23], mbona mnakopa? Si niliskia Rufiji na SGR ni pesa za ndani?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]. Yani kila kitu Tanzania kama sio mkopo basi ni msaada[emoji23][emoji23][emoji23].
Says a citizen from 5km rail loan country...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] better shut that big emty mouth
 
Hizo excuses zako za kijinga peleka kwa choo,[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ulikuwa hapo wakiongea na simu ukaona kama rais wa China ndio alipiga? Ama Magufuli alimtumia ujumbe ya "please call me" ?[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23],
Lazima umie mana mlevi wenu ilimbid afunge safar na bado akanyimwa mkopo wa SGR[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ewaaa hapo umepatia, sisi tunakopeshwa pesa taslim, hatukopeshwi mapipa ya chang'aa yaliyothaminishwa kwa pesa taslim, hiyo ndio tofauti ya tanzania na Kenya

Na hatupapatikii huwa tunafuatwa [emoji23][emoji23]
Afadhali ukakubali km jiwe kapigiwa ili akope[emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Dooh kumbe tumekopa hivyo? Ila bado mnatuzidi kwa mikopo karibu mara million na hakuna chochote kwa ground mnachotuzidi [emoji23][emoji23]
Tofauti yetu na nyinyi hatuongopewi km serekali haikopi, ila nyie mnapigwa nyondo za longo longo kila leo..
Hela za ndani vipi jamani donor kantri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom