Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa kazi tubig up my motherland
Hii stendi itakua ya nguvu meanwhile tusubiri updates za BRT kutoka kwa majirani wetu

hee! kwan hii stand na uwanja wa mpira vinajengwa wap? nasikia march 2021 ianze kutumika
 
hee! kwan hii stand na uwanja wa mpira vinajengwa wap? nasikia march 2021 ianze kutumika
BusStand iko Mwenge
Kinondoni Municipal Stadium iko Biafra
 
BusStand iko Mwenge
Kinondoni Municipal Stadium iko Biafra

biafra ipi? pale barabaran au ndan ndan? mana hapo barabaran napita kila siku.. kwenye ule uwanja naona macosta tu ya kukodishwa yanapaki
 
Hatujaahidiwa mchoro sisi, km nyie mnasubiria treni za pale kw ule mchoro msahau..
Treni zenyewe mumeshindwa kununua mpka leo
Hatununui mtumba sisi,we unadhani treni mpya new kabisa unanua kama unavyonunua big g,kwamba unaenda dukani na mia mbili zako unasema nataka train,noooo unaweka order kwanza,then wataalam wanaanza kukutengenezea kitu new sio scrapper man
 
Hatununui mtumba sisi,we unadhani treni mpya new kabisa unanua kama unavyonunua big g,kwamba unaenda dukani na mia mbili zako unasema nataka train,noooo unaweka order kwanza,then wataalam wanaanza kukutengenezea kitu new sio scrapper man
Hahaha!!mumeeka wapi hzo oda, tuelimishe kidogo
 
Asante kwa kuleta habari ya 2017, kwani unasahau Kenya ilishawapatia msaada?View attachment 1651528
Dah jamaa unapigwa vitasa mpk huruma yn, kwahyo milioni 125 Tshs ndo msaada ambao Kenya uliipa Tz, so hyo ilikuwa ya nn na ilienda kufanya kazi gn.

Yn unahangaika mpk unajidhalilisha aisee, cc tunawapa msaada wa chakula wa billion of shs ww unaonesha milioni 125 hv huyu mzima huyu nyani jamani
 
Mna msanii gani nyie aliyekua norminated BET
Nominated!???..sisi hiyo bet hadi tumechukua we unazungumza nomination!!!..kweli sisi sio level yenu,huyo kaligraph alivyokuwa nominated naona mkaandaa na sherehe kabisa😁🤣🤣🤣

Napo ashukuru kolabo zile mfululizo alizofanya na wabongo..
 
Afadhali ukakubali km jiwe kapigiwa ili akope
Ss we huoni ajabu mtu anakupigia simu ili umkope, yn Kenya hamtokaa mpate kiongozi km Magu na tunajua mnampenda sn mana ametupatia heshima kubwa duniani hapa, siku hz nchi inayoangaliwa zaidi EA ni Tz na Rais maarufu zaidi EA na Afrika kwa ujumla ni Jiwe
 
Nominated!???..sisi hiyo bet hadi tumechukua we unazungumza nomination!!!..kweli sisi sio level yenu,huyo kaligraph alivyokuwa nominated naona mkaandaa na sherehe kabisa

Napo ashukuru kolabo zile mfululizo alizofanya na wabongo..
Ndo nani uyo mbn cmjui?
 
Nominated!???..sisi hiyo bet hadi tumechukua we unazungumza nomination!!!..kweli sisi sio level yenu,huyo kaligraph alivyokuwa nominated naona mkaandaa na sherehe kabisa

Napo ashukuru kolabo zile mfululizo alizofanya na wabongo..
Nani huyo kachukua BET tz
Alafu bado kw nomination sijasahau, utupe na category kabisa
 
Nominated!???..sisi hiyo bet hadi tumechukua we unazungumza nomination!!!..kweli sisi sio level yenu,huyo kaligraph alivyokuwa nominated naona mkaandaa na sherehe kabisa

Napo ashukuru kolabo zile mfululizo alizofanya na wabongo..
2020 kafanya collabo na mbongo wa wapi
Tueleimishe mzee baba
 
Back
Top Bottom