Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kawaida yao hao, wakishindwa huwa ukimbilia kwenye English language
Wakenya ni takataka kabisa ukanda huu, wanadhani kujua kingereza ndo kuelewa mambo, ingekuwa hvyo China isingefanikiwa ktk economic revolution.

Kwa upupu walio nao kichwani now wanasubiri majaribio ya chanjo ya corona yafanyike kwao ili binadamu wajue km inatibu au ni sumu
 
While you depend on food donation, Nairobi there is water shortage, unemployment rate is sky rocketing, slums and corruption
Pia Kenya ndio Taifa la Africa mashariki linaloongoza kwa importation, wanaimport chakula kutoka nje na mafuta mazito ya kuzalisha umeme wakati Tanzania haimport kwa wingi wala mafuta mazito kutokana na kutumia natural gas

Zaidi ya 90% ya mzigo wote unaishia Kenya ,wakati Tanzania zaidi ya 60% ni in transit.
 
Back
Top Bottom