Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Ukishindwa hoja unakimbilia kwenye childish argument na emojiz, hii habari ya Xi kumpigia Magufuli imeripotiwa na karibu international media zote, so nao wanadanganya?Hizo excuses zako za kijinga peleka kwa choo,[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ulikuwa hapo wakiongea na simu ukaona kama rais wa China ndio alipiga? Ama Magufuli alimtumia ujumbe ya "please call me" ?[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23],