Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siezionea nchi maskini wivu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mnatia huruma, wivu wa kazi gani?

Screenshot_20201205-165010~2.png
 
Mbona source huweki kama hii ulioweka alaf ukakalia kuti kavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
SGR ya Tanzania ni deni mwanzo mwisho[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
IMG_20201216_131232_644.JPG
 
Nashangaa eti mtu apigiwe then awe na agendas already [emoji23][emoji23][emoji23]

Wivu tu, mwishowe watasema ile barua ya macron juzi Magufuli kajitumia mwenyewe [emoji28][emoji28][emoji28]
Magu kapigiwa simu ili akope mikopo nafuu, mbna hatujakataa kapigiwa jamani..
Lkn na yeye katumia hyo fursa na kuzungusha bakuli chap chap[emoji1787]
 
Shidako yako ni kuoza kwa akili[emoji23][emoji23][emoji23], Standard Chartered bank walitoa $1.46b alafu Africa Development Bank wakatoa $455m which brings the total to $1.9b[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
Em Onesha adb ikitoa huo mkopo 😂😂😂
 
Denial is in your blood. Hilo tunalijua
Sisiemu itawadanganya hadi lini?



Wivu utakuua wewe
Dar to Morogoro, $1.2B Fully funded by GoT

Morogoro to Makutopora, $1.9, ADB wametoa $1.4B, GoT imetoa $0.5B

Net work nzima itagaharimu $14B, kuna tutakazokopa lakini nyingi tutatoa wenyewe.

Muhimu ni kwamba, hatujengi kwa kutegemea mikopo full kama ninyi, na mikopo tunayochukua sio "Commercial".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulia sindano ingie[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1651444
ile link uliyoileta nishakuymbua kilichobakia sasa nikuruka ruka....
hutoshi mboga msofo wangu,unaokota vitu halafu vinakuumbua mwenyewe.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

mi nakupitisha kwenye ile ile link yako iliyokuumbua kuwa Afdb imetoa mkopo wa 455usd...

hebu pitia na hii kwanza kisha nikurudie kwenye hako kascreen shot maana hakana mantiki unapenda kujifurahisha for nothing
20201216_132039.jpg
 
ile link uliyoileta nishakuymbua kilichobakia sasa nikuruka ruka....
hutoshi mboga msofo wangu,unaokota vitu halafu vinakuumbua mwenyewe.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

mi nakupitisha kwenye ile ile link yako iliyokuumbua kuwa Afdb imetoa mkopo wa 455usd...

hebu pitia na hii kwanza kisha nikurudie kwenye hako kascreen shot maana hakana mantiki unapenda kujifurahisha for nothingView attachment 1651481
🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana akiambiwa alete source anakimbia ila wameumia sana hawa jamaaa
 
Magu kapigiwa simu ili akope mikopo nafuu, mbna hatujakataa kapigiwa jamani..
Lkn na yeye katumia hyo fursa na kuzungusha bakuli chap chap[emoji1787]
Ewaaa hapo umepatia, sisi tunakopeshwa pesa taslim, hatukopeshwi mapipa ya chang'aa yaliyothaminishwa kwa pesa taslim, hiyo ndio tofauti ya tanzania na Kenya

Na hatupapatikii huwa tunafuatwa 😂😂
 
Back
Top Bottom