joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sikuliza wewe, Kenya ni huo mkusanyiko wa hayo majimbo, bila hayo majimbo hakuna Kenya, jukumu la kuendeleza Kenya yote ndio jukumu la GoK chini ya Uhuru Kenyatta, hao wengine wanamsaidia Uhuru.Sasa si ni kweli kwamba kenya kuna county roads na barabara za national government
Hii tabia yenu ys kutuambia habari za majimbo kukwepesha udhahifu wa GoK hatutaki kurudia, Marekani ina majimbo, lakini lawama zote za uchumi kuzorota anarushiwa Trump, wacha ukabila, kwanini mnapenda sana "separatism?"