Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii! hivi unajielewa wewe, kwa akili yako unaona thika ni bora kuliko hii? au ndio unafananisha kitu ambacho hakijaisha.
Nimekwambia hii inakidhi mahitaji ya sasa na baadae, mfano nioneshe sehemu itakapopita BRT thika:
Hii ni Morogoro road:
View attachment 1648794
na hii ni thika:
View attachment 1648799
Unafikiria thika walifanya kulima na kupaka rangi tu[emoji23][emoji23]
Ujue tangia itengezwe haina shimo wala matatizo yyte alafu uje ulinganishe na kibaka ambayo wamefanya kulima lima mchanaga tu
 
Sasa nyinyi mtaongoza vipi kwenye electrification rate ilhali kuna nchi kadhaa hapa Afrika ambazo zina higher electrification rate kuwashinda? Ama pengine huelewi maana ya electrification rate. Sitashangaa ikiwa huelewi tunachozungumzia.
Vipi Tanzania kuipita Kenya, South Africa na Nigeria katika Economic growth rate?, lakini uchumi wake bado ni mdogo?
 
Sasa nyinyi mtaongoza vipi kwenye electrification rate ilhali kuna nchi kadhaa hapa Afrika ambazo zina higher electrification rate kuwashinda? Ama pengine huelewi maana ya electrification rate. Sitashangaa ikiwa huelewi tunachozungumzia.
Hahaha!!muonee huruma huyo,
 
Kwaiyo itakua floating gate au floating bridge,

By the way kwajinsi nimeona iyo gate sioni kama ipo kama render naona kama ni kudanganywa mumezoe lakini tusubiri iishe tuone
Haijalishi bora umekubali kuwa kuna sehemu ambalo litafloat na kujifungua na kujifunga, mimi shida.
 
at all sikuwa nimetaja uzalishaji wa chakula kenya bado,una haraka sana.

pamoja na majibu yako nimeyapokea,na nauliza kwa kufuata jibu lako sasa,mnazalisha pesa zaidi kupitia mazao ya biashara halafu mnanunua chakula kwa majirani,
ni sababu ipi inasababisha baadhi ya jamii kenya kukosa kabisa chakula!!!!
pesa ya kununua chakula haitoshi??,au chakula cha kununua hakipo??

kumbuka tu,nchi yoyote inayoingiza bidhaa chakula,ndio nchi dhaifu kabisa.ndio sababu uliona msuguano wakati wa corona kenya ikaonyesha udhaifu mkubwa kabisa.
Ndio ukumbuke pia hicho chakula inachonunua haigawi bure
 
Serikali inayodanganya raia ni serikali mfu.
Kama ya uhuru.
Tanzania serikali haijatudanganya specially kweny swala la electrification kitu Tz inaongoza ni supply in rural areas ambapo tumewapita Nigeria,

South Africa hawana iyo 97% bali iyo ni projection yao 2025.

Seyshells hakuna rural bahati mzuri me nimefika kule, ni kama wilaya moja ya tanzania na imeendelea nchi nzima wale ni level ya europe.. na population ndogo yenye 50% wazungu.
The same to mouritius pia kule kuna wahindi na hawana rural. rural za mouritius ni town kenya altough hawana highrise building lakini miji yao yote ni mizuri na inampangilio mzuri..

Speaking of rural electricity distribution hakuna kama Tz. Hata ukija ground utaprove mwenyewe.
Kwhyo wewe ndio msemaje wa mauritius sio ya kwamba hawana remote areas, ikiwa km marekani na uingereza tu wanazo itakuja mauritius
 
Hao wanaoumia kwa njaa wametelekezwa na serikali. Lakini sio kwamba hakuna chakula cha kutosha. Mbona mimi huwa nanunua chakula kila siku bila tatizo? Halafu hao wanaoumia kwa njaa ni wale Wakenya masikini ambao hawajiwezi kabisa. Halafu wanaishi katika maeneo kame ambapo hawawezi kupanda mimea. Ukumbuke 75% ya Kenya ni kame na 0% ya Tanzania ni kame. Ni jukumu la serikali kuwasaidia ila serikali saa zingine huwa inawatelekeza.
Wananchi vijijini hawapaswi kununua chakula, hasa kile chakula kikuu, ni sawa na mfugaji kununua maziwa, Kenya ilipaswa kutengeneza mazingira ya wananchi kule vijijini kuzalisha chakula chao kwa wingi kwa kuwajengea mifumo ya umwagiliaji katika sehemu kame.
 
Kuna watu huwa wala sijisumbui kuwajibu, mtu ambaye hadi leo bado anajua kwamba Tanzania ni LDC, kweli kuna sababu ya kumjibu?
Basi jibu picha usimjibu yeye. Unaweza kuhesabu jets ngapi hapo? Jaribu kuwa mkweli.
 
Hao wanaoumia kwa njaa wametelekezwa na serikali. Lakini sio kwamba hakuna chakula cha kutosha. Mbona mimi huwa nanunua chakula kila siku bila tatizo? Halafu hao wanaoumia kwa njaa ni wale Wakenya masikini ambao hawajiwezi kabisa. Halafu wanaishi katika maeneo kame ambapo hawawezi kupanda mimea. Ukumbuke 75% ya Kenya ni kame na 0% ya Tanzania ni kame. Ni jukumu la serikali kuwasaidia ila serikali saa zingine huwa inawatelekeza.
Jamaa mi hunishangaza, utakuta vyombo vya habari vinatangaza njaa kali kenya na wakati ukienda sokoni vitu vyote vipo..

Tatizo wazee wa turkana hutegemea vyakula vya mwituni sana sana ndio manake ukame ukija hauwaachi salama.
 
Lkn hiyo uliyopost siyo middle class ya Nairobu au ?
Hapana sio middle class, lakini hata middle class estates za Nairobi ziko Sawa zaidi ya hapo bongo.

Kitu nimejuka kugundua ni kuwa hakuna drone view za mji wa dar. Au ni mimi sijatafuta vizuri .

ebu post hapa video za drone view za mji wa dar tuone
 
Hapana, siyafahamu .
Hayo ndio maeneo ya upper middle class. Lakini kama huyafahamu basi kuna maeneo mengi tu ambayo yanaweza kuwa classified kama upper middle class na pia kuna lower middle class.
 
Wananchi vijijini hawapaswi kununua chakula, hasa kile chakula kikuu, ni sawa na mfugaji kununua maziwa, Kenya ilipaswa kutengeneza mazingira ya wananchi kule vijijini kuzalisha chakula chao kwa wingi kwa kuwajengea mifumo ya umwagiliaji katika sehemu kame.
Unaongelea vijiji gani hvo, au unamaanisha yale maeneo kame ya wafugaji ambao hata ukulima hawajui ni nn
 
Ni sawa nimeona zinaenda Uganda. Tofauti yangu na wewe ni kwamba nikikosea jambo nakubali haraka sana bila kung'ang'ania jambo ambalo sio la kweli kama wewe.


sasa ndiyo mjue kuwa ni vitu vingi sana huwa mnabisha hapa pasipo kujua....

huo ndiyo ugonjwa mlio nao kwa kujihisi nyie ni bora kwa kila jambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Unafikiria thika walifanya kulima na kupaka rangi tu[emoji23][emoji23]
Ujue tangia itengezwe haina shimo wala matatizo yyte alafu uje ulinganishe na kibaka ambayo wamefanya kulima lima mchanaga tu
Umeanza kubwabwaja 😁 kumbe kila mara wanaziba cracks na potholes
1607851294286.png
 
Hapana sio middle class, lakini hata middle class estates za Nairobi ziko Sawa zaidi ya hapo bongo.

Kitu nimejuka kugundua ni kuwa hakuna drone view za mji wa dar. Au ni mimi sijatafuta vizuri .

ebu post hapa video za drone view za mji wa dar tuone

Sina drone view za mji wa Dar !
 
Hapana sio middle class, lakini hata middle class estates za Nairobi ziko Sawa zaidi ya hapo bongo.

Kitu nimejuka kugundua ni kuwa hakuna drone view za mji wa dar. Au ni mimi sijatafuta vizuri .

ebu post hapa video za drone view za mji wa dar tuone
Sio eti hakuna, wanaogopa
 
Back
Top Bottom