Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro endelea kuota kwamba nyinyi mtakuja kupita Kenya.
Tuko mbele ya Kenya mda mrefu, facts [emoji116][emoji116]

Tunajitosheleza kwa chakula

Tuna matajiri wengi (Uganda+Kenya+Rwanda+Burundi) na bado hamtufikii

Uchumi wetu ni more inclusive in EA

Tunajenga baadhi ya miradi kwa pesa ya ndani

Hatuna slums

Tunajenga miradi ya kisasa zaidi kuliko nchi yoyote EA, n.k.
 
Section ya Likoni bridge (150 metres)inealea kwa kutumia pontoons. Na hii section haielei tu bali inajifungua na kujifungua kwa kutumia motor. Sasa nionyeshe bridge kama hio Tanzania.
Hebu weka iyo sehemu inayoelea tuione, mana asbh hii nataka nikamate mtu [emoji3][emoji3]
 
Morning shot, The giant itself JNIA[emoji116][emoji116][emoji116]
IMG_20201213_065122_740~2.jpg
IMG_20201213_065130_325~4.jpg
IMG_20201213_065130_325~3.jpg
IMG_20201213_065136_781~2.jpg
IMG_20201213_065144_768~2.jpg
IMG_20201213_065158_428~2.jpg
 
Yani Kenya wengi wanaishi chini ya Dola moja, Nairobi nyumba gharama ziko juu,chakula kizuri kwao lazima ugaramikie au sivyo utakula vitu vya ajabu uarishe kutwa nzima,kingine jamaa hawazingatii usafi unaweza uka kuta mgahawa pembeni maji taka yanapita,kwa kweli tumshukuru mungu kwa Tanzania yetu hata kama kuna umaskini sio umaskini wa njaa na style hiyo😏
Baada ya kujisifia ujinga facts zinabakia pale pale kuwa Tanzania ina watu wengi wanaoishi chini ya poverty line kushinda Kenya. Hii ni kwa hisani ya World bank. Both in percentage terms and in absolute terms.
 
Kila unapozidi kupanda nayo mambo hubadilika, toka jozi nenda cairo alafu uingie europe na marekani alafu urudi na ngano zako za rahisi..

Ukitaka rahisi ni basi ukatulia kweli hko au uende kw majirani zako akina congo na uganda ndio utapata vyakula vya ubwete
Kweli we Una habari na unacho kizungumzia hivi unajua Tanzania ndio nchi inayo ongoza kwa uzalishaji wa chakula East Africa? Ki ufupi kadri mnavo Jenga magorofa Sisi tunaendelea na kilimo na miradi mingine muhimu sasa tusubiri kama mtakula matofali😏
 
Baada ya kujisifia ujinga facts zinabakia pale pale kuwa Tanzania ina watu wengi wanaoishi chini ya poverty line kushinda Kenya. Hii ni kwa hisani ya World bank.
Endelea kujipa moyo babaa ufurahishe nafsi yako 😏
 
Tuko mbele ya Kenya mda mrefu, facts [emoji116][emoji116]

Tunajitosheleza kwa chakula

Tuna matajiri wengi (Uganda+Kenya+Rwanda+Burundi) na bado hamtufikii

Uchumi wetu ni more inclusive in EA

Tunajenga baadhi ya miradi kwa pesa ya ndani

Hatuna slums

Tunajenga miradi ya kisasa zaidi kuliko nchi yoyote EA, n.k.
Hakuna economic indicator hata moja uliyotaja zaidi ya utopolo uliyotaja.
 
Hebu weka iyo sehemu inayoelea tuione, mana asbh hii nataka nikamate mtu [emoji3][emoji3]
Mimi sio wa kukamatwa. Hakuna mahali nimesema kuwa daraja imekamilika. Daraja itakamilika mwisho wa mwezi huu. January ifikapo basi utaona hio section inayoelea. The first modern floating bridge in Africa. Na sio floating tu bali inajifunga na kujifungua. Mapicha zitakuja kuanzia mwakani. Mimi huwa sins haja ya kudanganya kwa hivyo sijui utanikamatia nini? Utatafuta ukose cha kunikamatia.
 
Mimi sio wa kukamatwa. Hakuna mahali nimesema kuwa daraja imekamilika. Daraja itakamilika mwisho wa mwezi huu. January ifikapo basi utaona hio section inayoelea. The first modern floating bridge in Africa. Na sio floating tu bali inajifunga na kujifungua. Mapicha zitakuja kuanzia mwakani. Mimi huwa sins haja ya kudanganya kwa hivyo sijui utanikamatia nini? Utatafuta ukose cha kunikamatia.
Si ni ww ulisema brt itakuwa elevated au co ww [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kweli we Una habari na unacho kizungumzia hivi unajua Tanzania ndio nchi inayo ongoza kwa uzalishaji wa chakula East Africa? Ki ufupi kadri mnavo Jenga magorofa Sisi tunaendelea na kilimo na miradi mingine muhimu sasa tusubiri kama mtakula matofali😏
Hata wewe kwenye hii comment yako umekubali kuwa Kenya kumejengwa kushinda Tanzania. Angalau wewe umefika Kenya umejionea kwa macho yako. Tatizo ni kuwa Malazy wengi hawajawahi kufika Kenya ndio maana hawaelewi kuwa Kenya ipo ligi nyingine tofauti. Waeleze ndugu zako akina The best 007 ili waelewe.
 
Hata wewe kwenye hii comment yako umekubali kuwa Kenya kumejengwa kushinda Tanzania. Angalau wewe umefika Kenya umejionea kwa macho yako. Tatizo ni kuwa Malazy wengi hawajawahi kufika Kenya ndio maana hawaelewi kuwa Kenya ipo ligi nyingine tofauti. Waeleze ndugu zako akina The best 007 ili waelewe.
Kwa slums ni kweli mpo mbele yetu na co mbele yetu tu bali dunia nzima mnaongoza[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom