😉 Ngoja nianze uchambuzi;
hints: huyo vogue nimempa hadhi tu kwa sababu nimezielewa tits, ila wote ni wa chaka la ukikuyuni so ili wafike hadhi yangu itabidi nitumie pesa kuwaupgrade. Pia buda cheki mwenyewe hata hao walaji hapo pembeni ni kama wale wanaoonekana kwenye vibanda vya kubeti so kwa sasa hao ndio hadhi yao.
Sasa tuje kwenye vitu vichache tu walivyokosa.
1. Kichwani hawaridhishi kabisa, hao jamaa wameshindwa kugharamia. Hata demu anaegharamiwa TZS50K ya kichwa kawapita
2. Hizi swaga zao wanaonekana kabisa wanaiga, pc kali ikikucheki tu unaona tofauti kubwa sana na hawa walugaluga
Tuishie hapo nsijempeperushia kikiboy windo lake😀