Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jukali tu style 🤣,kitu hakina NMT,no service lanes,no lights,no interchanges,no Overpass,no underpass,, alafu unasema I compete na akina Thika superhighway,, Nairobi expressway,,na Westlands to Rironi superhighway no way😂😂😂
Ulitaka waweke taa, service lanes, n.k kabla haijaisha? calm down, tutaelewana tu
 
Section ya Likoni bridge (150 metres)inaelea kwa kutumia pontoons. Na hii section haielei tu bali inajifungua na kujifunga kwa kutumia motor. Sasa nionyeshe bridge kama hio Tanzania.
Screenshot_20201213-084313_YouTube.jpg
Screenshot_20201213-084307_YouTube.jpg

Hii ni sectipn kenya wanaita floating.

Hiyo ni gate tu yakufunguka na kufunga
Acheni siasa za kudanganyana.
 
Hii ndio super highway ya bongo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu azidi kutupa umri mrefu manake kw kasi hii ya kutaka kujionyesha mbele za waume pataumia watu
Superhighway superhighway ushuzi wa komora, sisi tunajenga kulingana na mahitaji ya sasa na yajayo. tungetaka maonyesho tungeweka mbwembwe za kila aina na hapo inaendelezwa hadi chalinze then dual inafatia mpaka Dodoma. Najua hupendi ila itabidi tu ukubaliane na hali maana hamna namna nyingine 😀
 
Unasema hivyo kwa sababu unajua vizuri kwamba tunawachapa bila huruma kwenye economic indicators karibu zote kuanzia Gdp hadi Gdp per capita hadi Gni per capita hadi HDI index.
Sisi tunawachapa katika hali bora ya maisha
1)Chakula
2)Maji
3)Amani
4)Afya
5)Ajira
6)Umeme
7)Miradi yenye faida
8)Kilimo
9)Rushwa
10)Umoja
 
Jukali tu style 🤣,kitu hakina NMT,no service lanes,no lights,no interchanges,no Overpass,no underpass,, alafu unasema I compete na akina Thika superhighway,, Nairobi expressway,,na Westlands to Rironi superhighway no way😂😂😂
Buda unataka underpass, interchange na sevice roads? subiri iishe, mbona joto linapanda ghafla au corona
1607839894120.png

1607840023851.png

1607839828233.png
 
Sisi tunawachapa katika hali bora ya maisha
1)Chakula
2)Maji
3)Amani
4)Afya
5)Ajira
6)Umeme
7)Miradi yenye faida
8)Kilimo
9)Rushwa
10)Umoja
Yet we have higher life expectancy and higher standards of living than you based on reputable source. Acha kutoa upuzi matakoni ukipost hapa.

Alafu umeme mtoe wapi wakati mnaproduce less than a half of what we produce?
 
Hahaha hao wasichana wawili wote ni warembo. toptorn ana wivu tu coz anajua hayuko level yao.
😉 Ngoja nianze uchambuzi;
hints: huyo vogue nimempa hadhi tu kwa sababu nimezielewa tits, ila wote ni wa chaka la ukikuyuni so ili wafike hadhi yangu itabidi nitumie pesa kuwaupgrade. Pia buda cheki mwenyewe hata hao walaji hapo pembeni ni kama wale wanaoonekana kwenye vibanda vya kubeti so kwa sasa hao ndio hadhi yao.
Sasa tuje kwenye vitu vichache tu walivyokosa.
1. Kichwani hawaridhishi kabisa, hao jamaa wameshindwa kugharamia. Hata demu anaegharamiwa TZS50K ya kichwa kawapita
2. Hizi swaga zao wanaonekana kabisa wanaiga, pc kali ikikucheki tu unaona tofauti kubwa sana na hawa walugaluga
Tuishie hapo nsijempeperushia kikiboy windo lake😀
 
Back
Top Bottom