Kwani unadhani Tz hatuna existing HEP Dams?
Hata hiyo Reli ya wachina wameijenga nchini kwenu na kwa pesa, design, technology, materials zao 100% sisi huku tulishajenga tangu 1970s inaunganisha Dar Port na Zambia, kwaiyo tuseme Kenya imeiga Tz sio, maana the technology is the same, mabehewa na kila kitu, only small difference on the width,
Kuhusu Madaraja hamtakaa muifikie Tz, na bado tunazidi kujenga across oceans and lakes kwa pesa zetu, Kenya hata mishahara ya Kulipa wafanyakazi inakopa,
Kuhusu Stadia we are at different leagues, and you know it, Hilo Gofu la Karasani ni equivalent to CCM kirumba Mwanza, hata haufikii ule wa Z'bar,
Kimsingi Tz haina cha Kujifunza Kenya,
Labda Kenya ijifunze mambo kama BRT, rural electrification, Water services supply, maana hata Nairobi maji ni issue, Mjifunze pia kuwa taifa huru na muachane na siasa za kizamani ukabila.