Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Da
Halafu kama unavyosema kuwa daraja hili halitafloat hapo katikati basi litafunguka vipi maana daraja zote zinazoweza kufunguka zinafunguka kwa sababu zinafloat. Daraja inayofloat ndio inayoweza kufunguka ila daraja fixed haliwezi kufunguka. Malazy mpo lazy kwenye kufikiria. Sasa kama litakuwa fixed kila mahali basi litafunguka vipi?
Daraja lolote linaweza kuwekwa gate na magate yako aina nyingi so ilo darajalenu lina gate pale katikati kuruhusu boat kupita.
 
Mnazo tano pekee, proove me wrong[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapropaganda wa chama cha sisiemu wanafikiri kwamba Kenya ni LDC kama wao🤣🤣🤣🤣

Hotpot (2).png
 
Tatizo lenu wakenya hamjui mambo mengi ya dunia, WB wanaweka ripoti kila baada ya miaka 3. By 2015 tulikua tumesambaza umeme kufikia vijiji 2000 pekee kati ya vijiji 12,000 vya Tanzania, ndani ya miaka mitano ya serikali ya Magufuli ameongeza vijiji 7000 kufikia vijiji 9000, hii inadi imetolewa katika hutuba ya Waziri katika bunge la bajeti, rais Magufuli katika hotuba zake zote amezungumza.

Sasa hivi Tanzania inaongoza Afrika kwa kusambaza umeme kufikia 74% ikifuatiwa na Nigeria 72%. Hizi data zitaonekana katika ripito za WB kuanzia 2019. Wewe lete hiyo ripoti ya WB inayosema ni 34% kama haitokua ya 2016 au 2017 na kurudi nyuma ambapo kazi ya kusambaza umeme kwa kasi ndio ilikua ikianza, wacha kujidhalilisha, WB ripoti zao zote wanazipata toka serikali husika, unahisi waziri au rais wanaweza danganya bunge na dunia nzima katika mambo kama hayo?,

Muulize mkenya yeyote aliyetembelea Tanzania kama alifika na kuona kijiji chochote ambacho hakuna umeme Tanzania, by 2021/22, vijiji vyote 100% vitakua na umeme Tanzania.
Inaweza kuwa ukweli kuwa mumefika 74% lakini serikali yenu inadanganya kwa kusema kuwa hio 74% inawafanya muwe nchi ya kwanza kwa kusambaza umeme Africa. Kumbuka nilipost hapa ripoti ya World bank inayosema kuwa Seychelles wana electrification rate ya 100%. Mauritius wana electrification rate ya 97.5% na South Africa wana electrification rate ya 91%. Wacha kufikiri kuwa kila kitu ambacho serikali yenu inasema ni ukweli hata kama inakinzana na data ya world bank.
 
Siku hizi naona umerudi kudebate bila facts na kujaza uongo nyingi kwa post zako. Kwa mujibu wa World bank, electrification rate ya Kenya ni 75% na ya Tanzania ni 35%. Kitu moja yenye imeanza kuniudhi na JF ni kuwa Watanzania wengi hawazingatii facts katika mjadala wao. Mimi nashindwa kabisa kujadili na mtu yeyote asiyezingatia facts, data na evidence kwa mjadala wake.
Hapa vipi, bado huamini?
 
hakuna sehemu nimehoji kwamba uchumi wa tz ni mkubwa kuliko wa kenya,na wala hakuna mtz aliyesema hivyo katika huu uzi tokea coment no1.

sisi tunahoji huo ukubwa unapimwa kwa namba pekee au impact katika nchi husika!!

maana kwa ukubwa kutuzidi more than $38bln,hatukutegemea kwenye maisha tuwazidi sehemu nyingi tu muhimu.hasa ukizingatia sisi ni wengi kiwazidi.
Hii yote inaweza kuwa explained kitaalamu. Ukiuliza kwa heshima unaweza kujibiwa. Uchumi wenu wa Tanzania umejikita zaidi katika subsistence farming. Yaani upandaji wa vyakula kama mahindi mihogo, mboga na kadhalika. Mimea hizi hazileti faida kubwa kwa mkulima maana anaziuza tu kwenye soko la mtaani kwa bei ndogo.
Kwa upande mwingine, Agricultural sector ya Kenya imejikita zaidi kwa commercial farming yaani upandaji wa mimea kwa ajili ya kuyaexport na kupata pesa nono kutoka kwa nchi za ulaya. Hio ni kumaanisha kuwa Kenya hatujajitosheleza katika upandaji wa chakula cha kila siku na inabidi tununue kutoka kwa majirani. Hio haimaanishi kwamba tuna uchumi mdogo bali inamaanisha kwamba hatujafocuss kwa kupanda mahindi bali tunapanda kahawa, chai, avocado, maua na kadhalika kwa minajili ya kuvuna pesa nono kutoka ulaya halafu tunatumia pesa hii kununua chakula kutoka kwenu.
 
Hapa vipi, bado huamini?
Inawezekana kuwa TZ ina electrification rate ya 74%. Sipingi kuwa TZ ina higher electrification rate kushinda Nigeria. Mimi napinga kuwa hio 74% yenu ndio highest in Africa maana Seychelles wana electrification rate ya 100% na wao ni African country.
 
Inaweza kuwa ukweli kuwa mumefika 74% lakini serikali yenu inadanganya kwa kusema kuwa hio 74% inawafanya muwe nchi ya kwanza kwa kusambaza umeme Africa. Kumbuka nilipost hapa ripoti ya World bank inayosema kuwa Seychelles wana electrification rate ya 100%. Mauritius wana electrification rate ya 97.5% na South Africa wana electrification rate ya 91%. Wacha kufikiri kuwa kila kitu ambacho serikali yenu inasema ni ukweli hata kama inakinzana na data ya world bank.
Again, unakosa kuelewa concepts, kuna nchi kama 7 hapa Africa ambazo zimefikia Universal electrification, hizo ulizotaja na baadhi ya nchi za Uarabuni ikiwemo Egypt. Tanzania inaongoza katika "Electrification rate", Tanzania ni namba 5 hapa Africa katika "Economic growth rate", Lakini ni namba kumi katika GDP, umenipata?
 
Again, unakosa kuelewa concepts, kuna nchi kama 7 hapa Africa ambazo zimefikia Universal electrification, hizo ulizotaja na baadhi ya nchi za Uarabuni ikiwemo Egypt. Tanzania inaongoza katika "Electrification rate", Tanzania ni namba 5 hapa Africa katika "Economic growth rate", Lakini ni namba kumi katika GDP, umenipata?
Sasa nyinyi mtaongoza vipi kwenye electrification rate ilhali kuna nchi kadhaa hapa Afrika ambazo zina higher electrification rate kuwashinda? Ama pengine huelewi maana ya electrification rate. Sitashangaa ikiwa huelewi tunachozungumzia.
 
Hii yote inaweza kuwa explained kitaalamu. Ukiuliza kwa heshima unaweza kujibiwa. Uchumi wenu wa Tanzania umejikita zaidi katika subsistence farming. Yaani upandaji wa vyakula kama mahindi mihogo, mboga na kadhalika. Mimea hizi hazileti faida kubwa kwa mkulima maana anaziuza tu kwenye soko la mtaani kwa bei ndogo.
Kwa upande mwingine, Agricultural sector ya Kenya imejikita zaidi kwa commercial farming yaani upandaji wa mimea kwa ajili ya kuyaexport na kupata pesa nono kutoka kwa nchi za ulaya. Hio ni kumaanisha kuwa Kenya hatujajitosheleza katika upandaji wa chakula cha kila siku na inabidi tununue kutoka kwa majirani. Hio haimaanishi kwamba tuna uchumi mdogo bali inamaanisha kwamba hatujafocuss kwa kupanda mahindi bali tunapanda kahawa, chai, avocado, maua na kadhalika kwa minajili ya kuvuna pesa nono kutoka ulaya halafu tunatumia pesa hii kununua chakula kutoka kwenu.
at all sikuwa nimetaja uzalishaji wa chakula kenya bado,una haraka sana.

pamoja na majibu yako nimeyapokea,na nauliza kwa kufuata jibu lako sasa,mnazalisha pesa zaidi kupitia mazao ya biashara halafu mnanunua chakula kwa majirani,
ni sababu ipi inasababisha baadhi ya jamii kenya kukosa kabisa chakula!!!!
pesa ya kununua chakula haitoshi??,au chakula cha kununua hakipo??

kumbuka tu,nchi yoyote inayoingiza bidhaa chakula,ndio nchi dhaifu kabisa.ndio sababu uliona msuguano wakati wa corona kenya ikaonyesha udhaifu mkubwa kabisa.
 
Subiri iishe buda, hii ni zaidi ya nairobi sgr station. naona unataka kuzipa hadhi sawa upate pakutokea, hapa kunajengwa interchange za kutosha zenye tunnels
View attachment 1648641
Hadhi gani wakati mumeshachemsha tayari, eti mnajenga interchange kituoni yani akili zenu mnazijua wenyewe..

Yani mlifikiria nairobi terminua pale kuna zege
 
Inaweza kuwa ukweli kuwa mumefika 74% lakini serikali yenu inadanganya kwa kusema kuwa hio 74% inawafanya muwe nchi ya kwanza kwa kusambaza umeme Africa. Kumbuka nilipost hapa ripoti ya World bank inayosema kuwa Seychelles wana electrification rate ya 100%. Mauritius wana electrification rate ya 97.5% na South Africa wana electrification rate ya 91%. Wacha kufikiri kuwa kila kitu ambacho serikali yenu inasema ni ukweli hata kama inakinzana na data ya world
Serikali inayodanganya raia ni serikali mfu.
Kama ya uhuru.
Tanzania serikali haijatudanganya specially kweny swala la electrification kitu Tz inaongoza ni supply in rural areas ambapo tumewapita Nigeria,

South Africa hawana iyo 97% bali iyo ni projection yao 2025.

Seyshells hakuna rural bahati mzuri me nimefika kule, ni kama wilaya moja ya tanzania na imeendelea nchi nzima wale ni level ya europe.. na population ndogo yenye 50% wazungu.
The same to mouritius pia kule kuna wahindi na hawana rural. rural za mouritius ni town kenya altough hawana highrise building lakini miji yao yote ni mizuri na inampangilio mzuri..

Speaking of rural electricity distribution hakuna kama Tz. Hata ukija ground utaprove mwenyewe.
 
Superhighway superhighway ushuzi wa komora, sisi tunajenga kulingana na mahitaji ya sasa na yajayo. tungetaka maonyesho tungeweka mbwembwe za kila aina na hapo inaendelezwa hadi chalinze then dual inafatia mpaka Dodoma. Najua hupendi ila itabidi tu ukubaliane na hali maana hamna namna nyingine 😀
Kwhyo hyo kumbe ni superhigway ya kijannja janja ili mkidhi mahitaji[emoji23][emoji23]

Basi, kenya inawapeleka kw kasi sana yani mpka mnashangaa mabao mengine mtayalipa lininjamani
 
Kweli we Una habari na unacho kizungumzia hivi unajua Tanzania ndio nchi inayo ongoza kwa uzalishaji wa chakula East Africa? Ki ufupi kadri mnavo Jenga magorofa Sisi tunaendelea na kilimo na miradi mingine muhimu sasa tusubiri kama mtakula matofali[emoji57]
Tanzania kw kilimo mnaingia kw egypt[emoji23][emoji23]
Nyie bado mpo nyuma kw kila kitu, ndio manale kila kitu chenu hko kinaenda kw bei ya nyanya..
Enzi za moi hzo
 
Hii yote inaweza kuwa explained kitaalamu. Ukiuliza kwa heshima unaweza kujibiwa. Uchumi wenu wa Tanzania umejikita zaidi katika subsistence farming. Yaani upandaji wa vyakula kama mahindi mihogo, mboga na kadhalika. Mimea hizi hazileti faida kubwa kwa mkulima maana anaziuza tu kwenye soko la mtaani kwa bei ndogo.
Kwa upande mwingine, Agricultural sector ya Kenya imejikita zaidi kwa commercial farming yaani upandaji wa mimea kwa ajili ya kuyaexport na kupata pesa nono kutoka kwa nchi za ulaya. Hio ni kumaanisha kuwa Kenya hatujajitosheleza katika upandaji wa chakula cha kila siku na inabidi tununue kutoka kwa majirani. Hio haimaanishi kwamba tuna uchumi mdogo bali inamaanisha kwamba hatujafocuss kwa kupanda mahindi bali tunapanda kahawa, chai, avocado, maua na kadhalika kwa minajili ya kuvuna pesa nono kutoka ulaya halafu tunatumia pesa hii kununua chakula kutoka kwenu.
Uchumi wowote duniani lazima uanze katika kujitosheleza kwa mahitaji muhimu ya binadamu, ni jambo la kuchekesha na kusikitisha kwa nchi yenye uchumi unaotegemea kilimo kutegemea chakula cha kunununua toka nchi za nje, ni sawa na kusikia nchi yenye uchumi unaotegemea madini kama Almasi, lakini nchi hiyo hiyo ananua Almasi toka nchi za nje, au nchi inayochimba mafuta kama Qatar na nchi zingine za Kiarabu na Iran, kuagiza mafuta toka nje.

Ukweli ni kwamba, uchumi wa Kenya unategemea zaidi investors wa Kigeni ambao ndio walioshikilia ardhi kubwa yenye rutuba, wao wanazalisha mazao kwa ajili ya matakwa ya masoko yao nje ya Kenya, hawa wawejezaji kamwe hawajali mahitaji ya Kenya na wakenya, ndio sababu hakuna "connection and association", kati ya vinavyozalishwa Kenya na mahitaji ya soko la Kenya.

Wawekezaji hawapaswi kumiliki ardhi ya kilimo ambayo ndio msingi wa uchumi wa Kenya, wao wangebaki katika sector zingine kama utalii, Banking, Communication, Manufacturing and others.
 
Back
Top Bottom