Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Itafloat vp ss wakati manguzo yameenda mpk chini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna gap ya 150 metres ambayo bado haijazibwa. Hio gap ndio itakuwa floating ili iweze kujifungua na kujifunga. Ama unataka nikuletee video ndio akili ya lazy iweze kuelewa? Malazy huwa mnashangaza sana.
 
Wewe wazimu sana. Sasa basi unaweza kuamini kwamba Tanzania ina uchumi mkubwa kushinda USA maana naona unapuuza Wataalam wanaounda list ya Gdp na kurank nchi based on Gdp. Naona unadhani werevu wako ni wa maana sana kushinda werevu wa wataalam.
siwezi wapuuza,maana silingani na us kwa lolote.si namba ya matajiri,si idadi ya watu,si ubora wa elimi,si tani za uzalishaji wa chakula,si tech,si afya yaaani sigusi popote.

ila wanaposema kenya imeniacha mbali sana kiuchumi,ni maswali machache tu yanaibuka kichwani kwangu.ninapohoji ndipo vioja navyo huibuka.
 
Najua haziendi Uganda

tony sikuizi umekua mzembe sana: Payment Options
1607845467347.png


1607845853615.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa nimeona zinaenda Uganda. Tofauti yangu na wewe ni kwamba nikikosea jambo nakubali haraka sana bila kung'ang'ania jambo ambalo sio la kweli kama wewe.


 
Kuna gap ya 150 metres ambayo bado haijazibwa. Hio gap ndio itakuwa floating ili iweze kujifungua na kujifunga. Ama unataka nikuletee video ndio akili ya lazy iweze kuelewa? Malazy huwa mnashangaza sana.
Ss iyo video ni ya render au mana hilo floating bridge ([emoji3][emoji3]) halijaisha ss video umetoa wapi?[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Ss iyo video ni ya render au mana hilo floating bridge ([emoji3][emoji3]) halijaisha ss video umetoa wapi?[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Video ya render ndio akili yako lazy iweze kuelewa.
 
siwezi wapuuza,maana silingani na us kwa lolote.si namba ya matajiri,si idadi ya watu,si ubora wa elimi,si tani za uzalishaji wa chakula,si tech,si afya yaaani sigusi popote.

ila wanaposema kenya imeniacha mbali sana kiuchumi,ni maswali machache tu yanaibuka kichwani kwangu.ninapohoji ndipo vioja navyo huibuka.
Kuhoji inakubalika. Sasa unahoji kuwa TZ ina uchumi mkubwa kushinda wa Kenya? Hahaha.
 
Mimi huwa sina shida kukubali ninapokosea. Hio ndio tofauti yangu na nyie malazy ya kusini ambao mnapenda kung'ang'ania jambo ambalo sio la kweli hata mkipewa evidence. Mimi ukinipa evidence nakubali mara moja na wala sifurukuti.
Kama kweli files hazijacorrupt huko kwenye chip yako ungeweza kuelewa kuwa takwimu nyingi za mabeberu kuhusu TZ zilichukuliwa kipindi tukiwa vibaya na wanaendelea kuforecast kuzitumia hizohizo mpaka pale tunapopaza sauti.
Ila ni vizuri mkiamini kuwa TZ hii bado ni ileile ili pale mtakapokuja kushtuka tucheke kwa dharau
 
Unataka render ama hutaki?
We unasema halijaisha basi ngoja liishe ndo unipe video mana kwa jinsi lilivyo hili daraja najua tu litakuwa tofauti kabisa na render, Mana haiwezekani msubiri kitu miaka mingi hivyo alafu kitu chenyewe ndio hiki [emoji3][emoji3]
 
Siku hizi naona umerudi kudebate bila facts na kujaza uongo nyingi kwa post zako. Kwa mujibu wa World bank, electrification rate ya Kenya ni 75% na ya Tanzania ni 35%. Kitu moja yenye imeanza kuniudhi na JF ni kuwa Watanzania wengi hawazingatii facts katika mjadala wao. Mimi nashindwa kabisa kujadili na mtu yeyote asiyezingatia facts, data na evidence kwa mjadala wake.
Tatizo lenu wakenya hamjui mambo mengi ya dunia, WB wanaweka ripoti kila baada ya miaka 3. By 2015 tulikua tumesambaza umeme kufikia vijiji 2000 pekee kati ya vijiji 12,000 vya Tanzania, ndani ya miaka mitano ya serikali ya Magufuli ameongeza vijiji 7000 kufikia vijiji 9000, hii inadi imetolewa katika hutuba ya Waziri katika bunge la bajeti, rais Magufuli katika hotuba zake zote amezungumza.

Sasa hivi Tanzania inaongoza Afrika kwa kusambaza umeme kufikia 74% ikifuatiwa na Nigeria 72%. Hizi data zitaonekana katika ripito za WB kuanzia 2019. Wewe lete hiyo ripoti ya WB inayosema ni 34% kama haitokua ya 2016 au 2017 na kurudi nyuma ambapo kazi ya kusambaza umeme kwa kasi ndio ilikua ikianza, wacha kujidhalilisha, WB ripoti zao zote wanazipata toka serikali husika, unahisi waziri au rais wanaweza danganya bunge na dunia nzima katika mambo kama hayo?,

Muulize mkenya yeyote aliyetembelea Tanzania kama alifika na kuona kijiji chochote ambacho hakuna umeme Tanzania, by 2021/22, vijiji vyote 100% vitakua na umeme Tanzania.
 
We unasema halijaisha basi ngoja liishe ndo unipe video mana kwa jinsi lilivyo hili daraja najua tu litakuwa tofauti kabisa na render, Mana haiwezekani msubiri kitu miaka mingi hivyo alafu kitu chenyewe ndio hiki [emoji3][emoji3]
Wewe ni wazimu. Eti unasema tumesubiri hili daraja kwa miaka nyingi na daraja lenyewe lilianza kujengwa miezi mitano iliyopita na litakamilika kabla ya mwaka huu kuisha?
 
Kuhoji inakubalika. Sasa unahoji kuwa TZ ina uchumi mkubwa kushinda wa Kenya? Hahaha.
hakuna sehemu nimehoji kwamba uchumi wa tz ni mkubwa kuliko wa kenya,na wala hakuna mtz aliyesema hivyo katika huu uzi tokea coment no1.

sisi tunahoji huo ukubwa unapimwa kwa namba pekee au impact katika nchi husika!!

maana kwa ukubwa kutuzidi more than $38bln,hatukutegemea kwenye maisha tuwazidi sehemu nyingi tu muhimu.hasa ukizingatia sisi ni wengi kiwazidi.
 
We unasema halijaisha basi ngoja liishe ndo unipe video mana kwa jinsi lilivyo hili daraja najua tu litakuwa tofauti kabisa na render, Mana haiwezekani msubiri kitu miaka mingi hivyo alafu kitu chenyewe ndio hiki [emoji3][emoji3]
Halafu kama unavyosema kuwa daraja hili halitafloat hapo katikati basi litafunguka vipi maana daraja zote zinazoweza kufunguka zinafunguka kwa sababu zinafloat. Daraja inayofloat ndio inayoweza kufunguka ila daraja fixed haliwezi kufunguka. Malazy mpo lazy kwenye kufikiria. Sasa kama litakuwa fixed kila mahali basi litafunguka vipi?
 
Kuna gap ya 150 metres ambayo bado haijazibwa. Hio gap ndio itakuwa floating ili iweze kujifungua na kujifunga. Ama unataka nikuletee video ndio akili ya lazy iweze kuelewa? Malazy huwa mnashangaza sana.
Hakuna gap mzee mbna hujui hata vitu vya kwenu yale magate yameshawekwa ndio mujidanganye ni float.
Screenshot_20201213-084212_YouTube.jpg

Iyo gape ni iyo hapo angalia kama iko wazi??
 
Back
Top Bottom