joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Evidences zote tulizoziweka mwaka jana wakati tunalinganisha Tanzania vs Kenya Airforces tulikubaliana kwamba Tanzania inazo J-7 jumla 14, zilizonunuliwa 2012, Kenya Airforce inazo F-5 7 jumla 5 zilizonunuliwa 1980s, ninashangaa leo unataka kurudisha mjadala tuliukubalianaUnataka ushaidi wa aina gani? Kwani mimi ni mwanajeshi nikuletee secret documents? Kuna sources nyingi zimepostiwa hapa JF miaka nenda miaka rudi na Wakenya wengine lakini wewe umeamua kuzipuuza halafu unaniitisha evidence? Kama umepuuza evidence zote ambazo unewekewa hapa JF kwa miaka nyingi basi mbona mimi niwaste energy yangu kubishana na wewe. Amini unachotaka lakini nimeanza kuona wewe sio mtu muungwana kama nilivyokuwa nikifikiri.



