Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

at all sikuwa nimetaja uzalishaji wa chakula kenya bado,una haraka sana.

pamoja na majibu yako nimeyapokea,na nauliza kwa kufuata jibu lako sasa,mnazalisha pesa zaidi kupitia mazao ya biashara halafu mnanunua chakula kwa majirani,
ni sababu ipi inasababisha baadhi ya jamii kenya kukosa kabisa chakula!!!!
pesa ya kununua chakula haitoshi??,au chakula cha kununua hakipo??

kumbuka tu,nchi yoyote inayoingiza bidhaa chakula,ndio nchi dhaifu kabisa.ndio sababu uliona msuguano wakati wa corona kenya ikaonyesha udhaifu mkubwa kabisa.
Hao wanaoumia kwa njaa wametelekezwa na serikali. Lakini sio kwamba hakuna chakula cha kutosha. Mbona mimi huwa nanunua chakula kila siku bila tatizo? Halafu hao wanaoumia kwa njaa ni wale Wakenya masikini ambao hawajiwezi kabisa. Halafu wanaishi katika maeneo kame ambapo hawawezi kupanda mimea. Ukumbuke 75% ya Kenya ni kame na 0% ya Tanzania ni kame. Ni jukumu la serikali kuwasaidia ila serikali saa zingine huwa inawatelekeza.
 
Kwaiyo Miradi Mikubwa kama Bwawa la Umeme la kuzalisha MW 2100 kwa pesa za ndani, cash, the New Salenda Bridge, 3Km Kigongo Busisi Bridge in Mwanza, Dooma Modern international Airport, Dodoma Ultramodern Stadium yote hii na mingine mingi JPM anashindana na Kenya?
Kipi hapo hatuna, tulijenga kitambo vitu vyote hvo.
Sijui nn madaraja na mabwawa ya umeme kenya tulijenga 80s nyie mumeanza kujenga bridge, stadium na airport 21st century basi mnajikuta nyinyi ndio mumeanza[emoji23][emoji23][emoji23]

Narudi tena, hvyo vyote ambavyo mnafanya sai kenya ilivifanya kitambo sana..sai tunajenga pale penye uhitaji nyie ndio mueanza sai
 
Nimesha save hii comment yako, si unanijua mm zen baadae nitakuwekea hapa.

Niko confident na hii kitu cz nna jamaa yng yeye yupo ktk kampuni inayojenga ubungo interchange na ndio waliopewa tenda ya kujenga hilo daraja la jangwani.

Na teyari labours wameshaanza kuchukuliwa kwa ajili ya mradi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tender kapewa nani[emoji23][emoji23]
 
TZ hata waliokuwa wamewekeza kwenye biashara ya kuuza na kufunga solar power wanatia huruma,biashara haiendi kabisa wengi hununua kama stand by light.na wengine security ya nje ili kuepuka bill kubwa ya umeme.
 
Hao wanaoumia kwa njaa wametelekezwa na serikali. Lakini sio kwamba hakuna chakula cha kutosha. Mbona mimi huwa nanunua chakula kila siku bila tatizo? Halafu hao wanaoumia kwa njaa ni wale Wakenya masikini ambao hawajiwezi kabisa. Ni jukumu la serikali kuwasaidia ila serikali saa zingine huwa inawatelekeza.
hii ndio tofauti yako wewe na wenzako wengine,na ndio point yangu ilipo.

uchumi mkubwa,unaoweza kununua chakula,lakini si kulisha au kuhudumia wananchi wake wasiojiweza,ni uchumi wa namna gani sasa!!!

kwahiyo tunapohoji impact ya ichumi ni katika masuala kama haya.
 
Hadhi gani wakati mumeshachemsha tayari, eti mnajenga interchange kituoni yani akili zenu mnazijua wenyewe..

Yani mlifikiria nairobi terminua pale kuna zege
Buda, usiforce tufanane, kama jinsi nairobi kulivyo na nyumba zenye kuta za mabati ilhali DSM kuta za tofali ujue kuwa TZ tunatumia material kutokana na design na eneo.
Sasa unataka kulinganisha jengo lenye underground floor, floor tano juu na utopolo nairobi sgr station.
Kama unaona zege ni kitu kibaya mngejenga sgr kwa chuma
 
copycat how? Mbezi bus stop has over 7 floors and buses drop and board passengers at 2nd floor! U don't have that at Nairobi Terminus! As far as cladding is concerned Dar has had cladding in buildings even before Nairobi! The only thing that makes them look similarto that tiny Nairobi Terminus is that orange color!
Bwahaha!!mbona umekuja juu hvo jamani na wakati hata design mumeiba, tatizo nyie yenu in zege hvyo vioo mumebadika
 
Gate lenyewe litafloat. Litawekwa pontoons.
Kwaiyo itakua floating gate au floating bridge,

By the way kwajinsi nimeona iyo gate sioni kama ipo kama render naona kama ni kudanganywa mumezoe lakini tusubiri iishe tuone
 
leta tofauti na yenyu si unakenua tu! tofauti ipo wapi?

EiKwW8FXcAUb2oh


DUynZxqW0AALNxK
Kibaka ndio unataka uilinganishe na thika hivi sasa, thika iko mnbele kw kila kitu
 
Uchumi wowote duniani lazima uanze katika kujitosheleza kwa mahitaji muhimu ya binadamu, ni jambo la kuchekesha na kusikitisha kwa nchi yenye uchumi unaotegemea kilimo kutegemea chakula cha kunununua toka nchi za nje, ni sawa na kusikia nchi yenye uchumi unaotegemea madini kama Almasi, lakini nchi hiyo hiyo ananua Almasi toka nchi za nje, au nchi inayochimba mafuta kama Qatar na nchi zingine za Kiarabu na Iran, kuagiza mafuta toka nje.

Ukweli ni kwamba, uchumi wa Kenya unategemea zaidi investors wa Kigeni ambao ndio walioshikilia ardhi kubwa yenye rutuba, wao wanazalisha mazao kwa ajili ya matakwa ya masoko yao nje ya Kenya, hawa wawejezaji kamwe hawajali mahitaji ya Kenya na wakenya, ndio sababu hakuna "connection and association", kati ya vinavyozalishwa Kenya na mahitaji ya soko la Kenya.

Wawekezaji hawapaswi kumiliki ardhi ya kilimo ambayo ndio msingi wa uchumi wa Kenya, wao wangebaki katika sector zingine kama utalii, Banking, Communication, Manufacturing and others.
Bado tunapanda chakula za kila siku sema hatujitoshelezi. Lakini kuna dhana kuwa Kenya hatuna Wakulima wanaopanda mahindi au viazi. Wapo na wapo wengi sana ila wanafanya small-holder farming. Yaani Wakulima wadogo wanaolima ekari moja au mbili, hao ndio wakulima wengi.
 
Sijui, hebu onyesha, ...
ikija Kwa residential housing, Nairobi inashindana na south Africa na Nigeria sio Tanganyika. Nyinyi labda mshindane na Burundi. 🤣🤣🤣

I dare you to post a residential estate like the one below in Nairobi. Tafuta mahali popote Tanzania mzima ambapo unaweza linganisha na hapa 👇 👇

Ukipata nafuga account jamii forum .I hope unatumia WiFi wala sio bandos🤣🤣 uweze kuitazma hii video vizuri
Ukiweza kupost mahali popote Tanzania kama hapa 👇👇 nafunga account 🤣🤣

 
ikija Kwa residential housing, Nairobi inashindana na south Africa na Nigeria sio Tanganyika. Nyinyi labda mshindane na Burundi. 🤣🤣🤣

I dare you to post s resident estate like the one below of Funds in Nairobi. Tafuta mahali popote Tanzania mzima ambapo unaweza linganisha na hapa 👇 👇

Ukipata nafuga account jamii forum .I hope unatumia WiFi wala sio bandos🤣🤣 uweze kuitazma hii video vizuri
Ukiweza kupost mahali popote Tanzania kama hapa 👇👇 nafunga account 🤣🤣



Lkn hiyo uliyopost siyo middle class ya Nairobu au ?
 
Kwhyo hyo kumbe ni superhigway ya kijannja janja ili mkidhi mahitaji[emoji23][emoji23]

Basi, kenya inawapeleka kw kasi sana yani mpka mnashangaa mabao mengine mtayalipa lininjamani
Hii! hivi unajielewa wewe, kwa akili yako unaona thika ni bora kuliko hii? au ndio unafananisha kitu ambacho hakijaisha.
Nimekwambia hii inakidhi mahitaji ya sasa na baadae, mfano nioneshe sehemu itakapopita BRT thika:
Hii ni Morogoro road:
1607850097394.png

na hii ni thika:
1607850352655.png
 
hiyo tuliibadilisha na tulitangaza,,,,

chanzo cha kubadilisha ni kwa sababu huwezi tatua tatizp foleni kwa kuweka junction kwenye fly over......hii ni sehemu iliyobize ni lango la jiji kuelekea city center na sehemu tofauti tofauti ndani ya hili jiji.....haikuwa na maana kutumia hiyo design ya kwanza....kwani ingesababisha foleni tu ......sababu juu kungekuwa na traffic light
 
TZ hata waliokuwa wamewekeza kwenye biashara ya kuuza na kufunga solar power wanatia huruma,biashara haiendi kabisa wengi hununua kama stand by light.na wengine security ya nje ili kuepuka bill kubwa ya umeme.
Mkuu hebu nikuulize, wewe unaamini kwamba TZ ina uchumi mkubwa kushinda Kenya? Nauliza maana naona kidogo wewe uko sober na muungwana kidogo. Nauliza kwa sababu Watanzania wengi hapa wanaamini kuwa TZ ina uchumi mkubwa kushinda Kenya.
 
Back
Top Bottom