Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha, Ksh 5.6B kujenga BRT lanes?, labda ni kilometa moja pekee, kuweni serious kidogo, mtaishia kupaka rangi tu
Kwani Kenya ndio itakuwa nchi ya kwanza kupaka rangi?This is Singapore
singapore-14-aug-06-kf_266.jpg

singapore-kf-280509_145.jpeg
 
Never be serious when arguing with them and also pretend to be stupid like them
I can't pretend to be stupid like them. Kwanza that low-IQ guy called ichoboy01 really pisses me off. Anyway wacha nikuwachie hawa watu. Me I can't deal with them.
 
Huko niko miaka mitatu mzee ww achana na BRT kwenu bado sana muna safari ndefu sama

BRT is a system sio unaamka asubuhi na handas kichwani unasema BRT tu 🤣🤣🤣🤣
Wewe sidhani kama nitawahi kujadili jambo lolote na wewe maana hautumii facts. Unatumia hisia kuargue. Halafu huheshimu facts unayopewa. Wacha niendelee kudebate na Watanzania wanaoheshimu facts.
 
Kwani hizo stations zitapakwa rangi ama zitajengwa?
Tafadhali kuweni wazi, semeni mnajenga stations za BRT, ila lanes mtapaka rangi, umuhimu wa BRT in special lanes ili zisiingiliane na gari zingine, bila kuwa na separate lanes, hayo mabasi lazima yataingiliwa na gari zingine, haitofanya kazi.
 
Tafadhali kuweni wazi, semeni mnajenga stations za BRT, ila lanes mtapaka rangi, umuhimu wa BRT in special lanes ili zisiingiliane na gari zingine, bila kuwa na separate lanes, hayo mabasi lazima yataingiliwa na gari zingine, haitofanya kazi.
Unadhani madereva wa Kenya ni washamba kama hao wachawi wa huko kwenu?
 
Tafadhali kuweni wazi, semeni mnajenga stations za BRT, ila lanes mtapaka rangi, umuhimu wa BRT in special lanes ili zisiingiliane na gari zingine, bila kuwa na separate lanes, hayo mabasi lazima yataingiliwa na gari zingine, haitofanya kazi.
BRT lanes zitainuliwa juu kama tu expressway. Kwani unadhani kazi ya hizo pillars ni nini? Unadhani hizo pillars zinajengwa ili kuwa kivutio cha utalii? Baada ya hizo pillars kusimama basi barabara ya BRT itatandazwa juu yake na kwa hivyo tutakuwa na flyover ya Brt.
 
Back
Top Bottom