Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Happy independence Day Tanzania nakupenda siku zote 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    34.2 KB · Views: 4
Uko na ujinga sana, we make our own buses we don't import from outside the country like you
We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka
 
We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka
That's how creative we are,kufanya kitu you don't think can work but really work well here,hizo nganya huwa fire nanii😝😝🔥🔥
 
Happy independence Day Tanzania nakupenda siku zote 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hata hakuna Mkenya anayejua kwamba leo ndio siku ya independence ya Tanzania. Nchi yenu sio maarufu hapa Afrika
 
Hata hakuna Mkenya anayejua kwamba leo ndio siku ya independence ya Tanzania. Nchi yenu sio maarufu hapa Afrika
Hongera kwa kutokujua independence day Tanzani hii ni big achivement kwa wakenya..

Me najua yA kenya ni 1st january.. na watanzania wote tunajua
 
We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka
waje wajifunze tz hanspoul wa arusha anaetengeneza gari za tours au continental wa trailer za maroli au quality group wanaotengeneza body za mabasi
 
waje wajifunze tz hanspoul wa arusha anaetengeneza gari za tours au continental wa trailer za maroli au quality group wanaotengeneza body za mabasi
Kenya pia tunaunda body za mabasi. Pia tuna assemble magari kwa wingi sana kushinda Tanzania. Kuanzia VW, Peugeot, Toyota pickup na kadhalika. Tunawashinda kwa mbali katika mambo ya kuassemble magari au kurefurbish body za mabasi
 
Kenya pia tunaunda body za mabasi. Pia tuna assemble magari kwa wingi sana kushinda Tanzania. Kuanzia VW, Peugeot, Toyota pickup na kadhalika. Tunawashinda kwa mbali katika mambo ya kuassemble magari au kurefurbish body za mabasi
na izo ma3 shuzi la kenge zmetokea wapi?
na kwanini gari za tours kiwango ad mje bongo?
 
Back
Top Bottom