We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifuUko na ujinga sana, we make our own buses we don't import from outside the country like you![]()


...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnatakaThat's how creative we are,kufanya kitu you don't think can work but really work well here,hizo nganya huwa fire nanii😝😝🔥🔥We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka
Nakutumia nauli uje BongoShobo zitakuponza baba..
Njoo mombasa basi

Humo ndio wanawake hudhaririswa na kubakwa huko Nairobi
Pinga kwa kutumia facts sio feelings.Ndio walivokudanganya hvo 🤣🤣🤣 BRT ndio inajengwa hvo yani kirahisi tu kama vile unakula karanga
Naona wewe unaitwa Bernard Leonard.
Hata hakuna Mkenya anayejua kwamba leo ndio siku ya independence ya Tanzania. Nchi yenu sio maarufu hapa AfrikaHappy independence Day Tanzania nakupenda siku zote 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Embu acha kuongea utoporo...km hujui sio mby kufung bakulHata hakuna Mkenya anayejua kwamba leo ndio siku ya independence ya Tanzania. Nchi yenu sio maarufu hapa Afrika
Hongera kwa kutokujua independence day Tanzani hii ni big achivement kwa wakenya..Hata hakuna Mkenya anayejua kwamba leo ndio siku ya independence ya Tanzania. Nchi yenu sio maarufu hapa Afrika
waje wajifunze tz hanspoul wa arusha anaetengeneza gari za tours au continental wa trailer za maroli au quality group wanaotengeneza body za mabasiWe nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka
Umekuwa kasisi siku hizi kuanza kunibatiza jina jipya?Naona wewe unaitwa Bernard Leonard.
Hata hakuna Mkenya anayejua kwamba leo ndio siku ya independence ya Tanzania. Nchi yenu sio maarufu hapa Afrika



ona uku creative ni nini popompo weweThat's how creative we are,kufanya kitu you don't think can work but really work well here,hizo nganya huwa fire nanii![]()


wapo ka konyagi ad wagongwe taco ndo washtukeKwann musianze nyinyi kwanza mulioko mjiniaibu kubwa sana eti mumesoma sijui mumesoma nn
View attachment 1645271View attachment 1645272View attachment 1645273
Kenya pia tunaunda body za mabasi. Pia tuna assemble magari kwa wingi sana kushinda Tanzania. Kuanzia VW, Peugeot, Toyota pickup na kadhalika. Tunawashinda kwa mbali katika mambo ya kuassemble magari au kurefurbish body za mabasiwaje wajifunze tz hanspoul wa arusha anaetengeneza gari za tours au continental wa trailer za maroli au quality group wanaotengeneza body za mabasi
na izo ma3 shuzi la kenge zmetokea wapi?Kenya pia tunaunda body za mabasi. Pia tuna assemble magari kwa wingi sana kushinda Tanzania. Kuanzia VW, Peugeot, Toyota pickup na kadhalika. Tunawashinda kwa mbali katika mambo ya kuassemble magari au kurefurbish body za mabasi
Wapo very insecure kuona Dar imeiacha Nairobi kwa kasi
pitieni the flag and the face muone wakenya wanapagawa na Tanzanian girls
Tulizipiga marufuku hizo lorries kuzigeuza kuwa passenger vehicles, only in failed states.That's how creative we are,kufanya kitu you don't think can work but really work well here,hizo nganya huwa fire nanii![]()