Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Tuna-assemble buses pia.We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka

