Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We nawe unajua hata unachosema?sema mnabadili matumizi ya magari yani gari ya mizigo kuifanya bus huo nao waona Ni ubunifu...Mngekua mnaakili mngechonga kila kitu anzia engine hadi board lifanane na vile mnataka
Tuna-assemble buses pia.
 
na izo ma3 shuzi la kenge zmetokea wapi?
na kwanini gari za tours kiwango ad mje bongo?
Mimi sizungumzii kuhusu matatu. Mimi nazungumza kuhusu gari mpya ya Peugeot, Volkswagen, Totota pickup na kadhalika. Gari mpya.
Likija kwenye swala la matatu nataka ujue kwamba hio refurbishment inafanywa kwenye garage za kawaida na vijana wa mtaani tu. Tofautisha matatu inayoundwa na mechanics wa mtaani na VW, Toyota, Peugeot zinazoundwa katika car assembling industries hapa Kenya. Usichanganye haya mambo mawili.
 
Kwa hivyo hizo pillars zinazojengwa kwenye hio picha ni kwa lengo la kuanikia nguo?
Tudanganye sasa munajenga BRT manake mulipaka rangi hii miaka mitatu iliopita mukajisifu wenyewe🤣🤣🤣👇👇👇



BRT sio skumawiki mzeee
145348B3-C2DC-474E-A821-20CAAFA83AD7.jpeg
 
Kenya pia tunaunda body za mabasi. Pia tuna assemble magari kwa wingi sana kushinda Tanzania. Kuanzia VW, Peugeot, Toyota pickup na kadhalika. Tunawashinda kwa mbali katika mambo ya kuassemble magari au kurefurbish body za mabasi
Siku hzi munamuundia nani wakat makampuni sasa yanachukua mabasi direct from china 🤣🤣🤣 tahmeed kajaza gari za kichina
 
Sijui wanamatatizo gani hawa jamaa. Hiyo channel ni ya demu mmoja mnyamwezi, anajamaa yake mbongo anamla kimasihara. Demu anasifia bongo kinoma, sasa Nyanga'u anaona wivu...
Tuwekee hiyo channel tuingie huko tukawavuruge wapate adabu kama hawa wa JF
 
Mm huna cha kunidanganya hakuna BRT inajengwa hvo wala hata usijidanganye sisi tunauzooefu sasa tunajenga phase 3 🤣🤣🤣
Hii JF sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe. Unapinga evidence halafu unataka tuwe na mazungumzo? Unanipotezea muda wangu bure.
 
HII JF sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe. Unapinga evidence halafu unataka tuwe na mazungumzo? Unanipotezea muda wangu bure.
Hio ndio evidenve kua munajenga BRT hebu just be serious is tha evidence serious???? Kwani hii haikua evidence umesahau leo 👇👇👇👇👇😅😅😅
E618402D-7C11-493F-BD1E-9DB3EC86D546.jpeg
 
Back
Top Bottom