Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

joto la jiwe ichoboy01
Kama muonavyo kwenye picha hii, kampuni inayojenga hii BRT inaitwa STECOL. Hata wameshaanza kuweka mabati ya kuziba site ya ujenzi ili kuzuia watu kupita na kusecure site for construction. Ujenzi ndio unaanza tu by next year pillars zitakuwa zinaonekana.

IMG_20201024_124308.jpg
 
Asante kwa kukubali kuwa tunajenga BRT
Kenya ndio mpo hovyo barabani mkifuatiwa na Uganda, hamna nidhamu barabari kabisaaa, na mkiongezea corruption, hakuna basi ya BRT itajayofika on time.

Kwa ufupi Kenya BRT imewashinda kama hamtojenga special lanes.
 
Kenya ndio mpo hovyo barabani mkifuatiwa na Uganda, hamna nidhamu barabari kabisaaa, na mkiongezea corruption, hakuna basi ya BRT itajayofika on time.

Kwa ufupi Kenya BRT imewashinda kama hamtojenga special lanes.
Hizo pillars zinamaanisha kuwa hizi lanes za BRT zitakuwa special lanes. Hii itakuwa flyover na wala haitagusana na lanes za chini. Kwa hivyo Brt buses hazitatangamana na magari zilizo kwenye lanes za chini.
 
BRT lanes zitainuliwa juu kama tu expressway. Kwani unadhani kazi ya hizo pillars ni nini? Unadhani hizo pillars zinajengwa ili kuwa kivutio cha utalii? Baada ya hizo pillars kusimama basi barabara ya BRT itatandazwa juu yake na kwa hivyo tutakuwa na flyover ya Brt.
Hahahaha, kwa bajeti ya Kshs5.6B?. Hizo pillars ni kwa ajili ya stations na daraja za juu za watu kuvuka kwa miguu, hakuna nchi yoyote hapa Africa yenye uwezo wa kujenga barabara za BRT zikiwa zimenyanyuliwa juu kwa zaidi ya Kilometers 50, kwa uchumi upi huo mlionao wakati hata hiyo inayoenda JKIA mtalipisha road toll?
 
Hapo umetuongopea 😂😂😂😂😂eti Barabara itainuliwa juu kivipi kwa mfano? Wadanganye wakenya wenzako daaah Ila mnapenda sifa
BRT lanes zitainuliwa juu kama tu expressway. Kwani unadhani kazi ya hizo pillars ni nini? Unadhani hizo pillars zinajengwa ili kuwa kivutio cha utalii? Baada ya hizo pillars kusimama basi barabara ya BRT itatandazwa juu yake na kwa hivyo tutakuwa na flyover ya Brt.
 
Hahahaaaa so mnaipaka rangi Thika road pale katikati zen mnaandika "only brt" naona kuna watu wanaenda kula pesa ya kutosha hapa.

Wakenya nawaonea huruma sana cz viongozi wenu hawana uzalendo kabisa, wamekurupuka ili kwenda sawa na Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shida tukipaka rangi?Umeskia mkenya yeyote akilalamika?
 
Hizo pillars zinamaanisha kuwa hizi lanes za BRT zitakuwa special lanes. Hii itakuwa flyover na wala haitagusana na lanes za chini. Kwa hivyo Brt buses hazitatangamana na magari zilizo kwenye lanes za chini.
Kwa uchumi upi kujenga eleveted roads mji mzima?, hata Egypt au South Africa hawawezi, hata developed countries hiyo kitu sio rahisi.
 
Hahahaha, kwa bajeti ya Kshs5.6B?. Hizo pillars ni kwa ajili ya stations na daraja za juu za watu kuvuka kwa miguu, hakuna nchi yoyote hapa Africa yenye uwezo wa kujenga barabara za BRT zikiwa zimenyanyuliwa juu kwa zaidi ya Kilometers 50, kwa uchumi upi huo mlionao wakati hata hiyo inayoenda JKIA mtalipisha road toll?
Nani amekuambia zitainuliwa kwa kilomita 50? Mbona unajijazia mambo yako tu? Hii ni Brt phase 1 na itakuwa kilomita chache tu.
 
Kwa uchumi upi kujenga eleveted roads mji mzima?, hata Egypt au South Africa hawawezi, hata developed countries hiyo kitu sio rahisi.
Naona sasa uchungu na wivu imeanza kuingia. Sasa ndio umejua kwamba sisi huku hatuchezi. Yaani tunajenga Brt iliyoinuliwa juu na wakati huo huo tunajenga expressway iliyoinuliwa juu.
 
Nani amekuambia zitainuliwa kwa kilomita 50? Mbona unajijazia mambo yako tu? Hii ni Brt phase 1 na itakuwa kilomita chache tu.
Hiyo ipo Thika road, tuambie itajengwa hadi wapi na kwa bajeti kiasi gani, kwasababu hili kampuni la China limepata kandarasi ya Ksh 5.6B pekee, wewe tuambie kwa hiyo pesa, itajenga eleveted road kiasi gani?
 
Naona sasa uchungu na wivu imeanza kuingia. Sasa ndio umejua kwamba sisi huku hatuchezi. Yaani tunajenga Brt iliyoinuliwa juu na wakati huo huo tunajenga expressway iliyoinuliwa juu.
Wenako wote wamekubali kwamba ni vituo pekee ndio vinajengwa na daraja za watembea kwa miguu, Kenya hamna uwezo wa kujenga special lanes.
 
Naona wivu imeanza kuwaingia wakati mumegundua kuwa Brt yetu itainuliwa juu huku yenu ikiwa chini kwenye sakafu. Kutangulia sio kufika aisee. Halafu kumbuka tunajenga expressway ambayo ni kilomita 27 na asilimia kubwa imeinuliwa juu.
Endelea kuota ni sehemu ya kujiliwaza
 
joto la jiwe ichoboy01
Kama muonavyo kwenye picha hii, kampuni inayojenga hii BRT inaitwa STECOL. Hata wameshaanza kuweka mabati ya kuziba site ya ujenzi ili kuzuia watu kupita na kusecure site for construction. Ujenzi ndio unaanza tu by next year pillars zitakuwa zinaonekana.

View attachment 1645404
Article haisemi kwamba mtainua pillars for brt lanes bali mtatumia Thika road which means mtapaka rangi, hiyo footbridge uliyoweka hapo ita act km station

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, kwa bajeti ya Kshs5.6B?. Hizo pillars ni kwa ajili ya stations na daraja za juu za watu kuvuka kwa miguu, hakuna nchi yoyote hapa Africa yenye uwezo wa kujenga barabara za BRT zikiwa zimenyanyuliwa juu kwa zaidi ya Kilometers 50, kwa uchumi upi huo mlionao wakati hata hiyo inayoenda JKIA mtalipisha road toll?
Hata iyo pia ni wachina ndo watapaka rangi Thika road iwe ina brt lanes, yn pesa ya kupaka rangi na kujenga vi station watatoa wachina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom