ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kumbuka tunajenga phase mbili kwa wakat mmoja usisahau hioTreni hamjamaliza ujenzi miaka mingapi?
Sisi hatutishiki, until wananchi wenu waanze kuitumia🐒
phase 1 iko 95%
phase 2 iko 40%
kumbuka tunajenga phase mbili kwa wakat mmoja usisahau hioTreni hamjamaliza ujenzi miaka mingapi?
Sisi hatutishiki, until wananchi wenu waanze kuitumia🐒
Yameanza kuwatia hasara kutokana na gharama ya matengenezo kutokana na uchakavuNa ni sawa pia. Mbona mnataka ku force tufanye vitu kwa sababu mnafanya? Kenya hatukurupukwi kama nyinyi. Sisi kama wananchi tunafurahia ujio wa hivyo vyuma "chakavu" kwa sababu mbali na kutupunguzia gharama ya kununua vitu mpya, bado yatafanya kazi iliodhamiriwa.
Sasa nendeni mkazinunue vifaranga vy msumbiji waziteke...Hizo ni private cars, serikali yetu kamwe haiwezi nunua used cars au trains, ninyi hadi silaha za Jeshi mnanunua used
Na bado! Tutaomba deni sababu sisi tuna uwezo wa kulipa. Sio kusamehewa deni kama nchi nyingine kanda hii 😹😹kama sio wazembe basi ni wajinga munaenda kuingia kwenye commercial loans kisa mzungu anataka ufate matakwa yao alaf leo unashangaa debt to gdp ratio imehara kabisa 😂😂👇👇👇
View attachment 1606292
Sisi tunaendelea kujenga, ninyi mumeshindwa mumeamua kuitelekeza poriniTreni hamjamaliza ujenzi miaka mingapi?
Sisi hatutishiki, until wananchi wenu waanze kuitumia![]()
Wewe ooliskia wapi?Yameanza kuwatia hasara kutokana na gharama ya matengenezo kutokana na uchakavu
Yafanya kazi kama icd bado au sio😂dunia inakwenda mbele sio kurudi nyuma 😂😂😂😂 nendeni na wakat mchina kawatia vidole matakoni na reli mumeisusia maporini
Nairobi Commuter Rail service almost ready to be launched👌
Hapa yafanyiwa tests
Mataga wa Ccm, sisi twangoja zile zenu kutoka South Korea ziingie nchini
😂😂😂😂👇👇👇👇👇Yafanya kazi kama icd bado au sio😂
Sasa door to door delivery ndiyo tunamalizia na rehab ya mgr zetu🙋♂️
Ni pesa hakuna😂😂Nyinyi maskini mkiingiza a clean unit direct from south korea ndio mwaeza kutuponda...hata hiyo sgr yenu hamjakamilisha hadi wa leo.
Mnahitaji miaka mingapi?
ona mulivojibiwa huku 😂😂👇👇
😂😂😂😂👇👇👇👇Yafanya kazi kama icd bado au sio😂
Sasa door to door delivery ndiyo tunamalizia na rehab ya mgr zetu🙋♂️
Hamna uwezo wa kulipa ndio sababu mchina alikataa kuwapa pesa, reli imeishia PoriniNa bado! Tutaomba deni sababu sisi tuna uwezo wa kulipa. Sio kusamehewa deni kama nchi nyingine kanda hii
Kisha mbona mambo ya deni yanakukata matumbo namna hii? Utatusaidia kulipa? Wajukuu wako watalipa deni la Kenya? Pilipili usioila yakuwashia nini?![]()
😂😂😂😂👇👇👇Real deal wapi? Treni zikapi?
Ungeniambia Ethiopia, pahali zachapa shughuli
Na hela zimewaishia😂😂, wembe ni ule uleSisi tunaendelea kujenga, ninyi mumeshindwa mumeamua kuitelekeza porini
Hahaha Hatuwezi uliskia wapi? Sisi hatukurupuki. Ni rahisi sana ku upgrade reli yetu to electric standards sababu KUU ni kuwa hii ni Chinese Class 1 standards. Wachina pia waliupgrade zao vivyo hivyo. Au hutaki kuskia hayo? Wivu ni ya nini? Usipandwe na presha Buda, utakufa bureeeHamuwezi kuweka umeme katika reli iliyoishia porini, malizeni deni ya mchina kwanza
😂😂😂😂👇👇👇👇Real deal wapi? Treni zikapi?
Ungeniambia Ethiopia, pahali zachapa shughuli
Ikapi ya Uganda? Nyie si mlikopa kutoka stanbic bank juzi tu😂😂Hamna uwezo wa kulipa ndio sababu mchina alikataa kuwapa pesa, reli imeishia Porini
mutaweza wapi nchi imehara tayar budaa😂😂😂😂👇👇👇👇Hahaha Hatuwezi uliskia wapi? Sisi hatukurupuki. Ni rahisi sana ku upgrade reli yetu to electric standards sababu KUU ni kuwa hii ni Chinese Class 1 standards. Wachina pia waliupgrade zao vivyo hivyo. Au hutaki kuskia hayo? Wivu ni ya nini? Usipandwe na presha Buda, utakufa bureee
Hawana pesa, ni kudanganywa eti wamejenga kwa pesa za ndani huku behind the scenes wanakimbiza bakuli from Turkey to China 😹😹Ni pesa hakuna😂😂