Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuforce mm ni ujinga unaona kabisa watu wanapita unataka kusema watu wawili wanapita ww ndio hua unahesabu watu kupita, kubali changamoto kenge ww
Hyo ni barabara gani eri mchana watu hawafiki hata watano, huyo alo post atakua siku hyo kakosa hata pesa ya boda kumtoa main road ndio akaamua kutembea
 
"Ngoja wajisifu vile wako na mabilionea wengi, ilhali asilimia 70% ya nchi ni maskini. Hiyo 28 million (~46%) ni wale maskini wa kutupwa, ongeza wale wanaoishi chini ya $1.90 kwa siku inafika asilimia 70% ya Watanzania.
Vile nawajua hawa watu, ni uvivu wa kutegemea serikali ifanye kila kitu ndiyo imewafikisha hapa. Mtanzania wa kawaida siyo mtu wa kujituma ama mwenye bidii. Yeye ni angoje apate muhogo na maharage tosha." Kevin85ify

😹😹😹

CC: MATAGA Naton Jr Geza Ulole ichoboy01

Kwaherini
Pamoja na uvivu wetu wote tulionao lakini hatujawahi kufika hii stage ya uvivu wa akili 😲😲😲
Screenshot_20200707-190902~2.png
 
Wallah? Sikutambua TZ imeathirika na janga hili kwa vile mlivyoturingia jinsi hamna corona. Jinsi uchumi wenu utaipiku ya Kenya kisa athari za corona. Doooh, kwa hivyo mmeathirika? Aisee JF rahaa, silipiii Netflix 😹
kuna nchi haijaathirika kweli just be frank ikiwa nchi zimeenda lock down unategemea nn kwa kutumia akili na sio kinyesi 😀😀😀 taja nchi dunini haijaathirika kiuchumi na janga hili
 
Haki ya nani SGR ya Kenya (which is equivalent to our upgraded MGR) wakiiwekea umeme nakwambia kuna hawa akina festo, Komora, asvptx, Teargear & Co. Ltd watapanda uchi kwenye nguzo za umeme za reli kupiga picha ili tu tuone kweli wana reli ya umeme! 😃 😃 😃 😃 😃
 
kuna nchi haijaathirika kweli just be frank ikiwa nchi zimeenda lock down unategemea nn kwa kutumia akili na sio kinyesi 😀😀😀 taja nchi dunini haijaathirika kiuchumi na janga hili
Hahaha nashangaa leo hii mmeathirika na corona ila mlikua humu mkiwika hamna corona. Sasa mmeathirika vipi kwa chanzo msichokijua? Halafu bado mkapeleka bakuli msaidiwe? 😹😹 JF rahaa yaani.
 
Haki ya nani SGR ya Kenya (which is equivalent to our upgraded MGR) wakiiwekea umeme nakwambia kuna hawa akina festo, Komora, asvptx, Teargear & Co. Ltd watapanda uchi kwenye nguzo za umeme za reli kupiga picha ili tu tuone kweli wana reli ya umeme! 😃 😃 😃 😃 😃
Hatuna ulimbukeni kama nyie. Si ni nyinyi mlikimbia kulaki mindege yenu airport? 😹😹😹

Kenya hatuna ulemavu wa kiakili. Sisi vitu huundwa, tunahoji na maisha yanaendelea ki kawaida tu. Nyinyi hadi mnasherekea kuwa na mabilionea wengi kuliko nchi nyingine ni kama pesa za hao mabilionea ni pesa ya kijamii. Ushoshalisti uliwadumaa akili kiukweli.
 
Hahaha nashangaa leo hii mmeathirika na corona ila mlikua humu mkiwika hamna corona. Sasa mmeathirika vipi kwa chanzo msichokijua? Halafu bado mkapeleka bakuli msaidiwe? 😹😹 JF rahaa yaani.
hatujaathirika kwa maana corona ipo kwetu hakuna isipokua hata watalii wamepungua na bishara pia zimepungua na sio kwamba corona ipo tanzania hakuna my friend sisi tupo na tunaendelea na maisha kama kawa 😀😀😀 na zile dua zenu sijui zilifkia wapi
 
Hyo ni barabara gani eri mchana watu hawafiki hata watano, huyo alo post atakua siku hyo kakosa hata pesa ya boda kumtoa main road ndio akaamua kutembea
kama sio watu hao basi watakua ni ng’ombe hope we are clear 😀😀😀😀
 
Hatuna ulimbukeni kama nyie. Si ni nyinyi mlikimbia kulaki mindege yenu airport? 😹😹😹

Kenya hatuna ulemavu wa kiakili. Sisi vitu huundwa, tunahoji na maisha yanaendelea ki kawaida tu. Nyinyi hadi mnasherekea kuwa na mabilionea wengi kuliko nchi nyingine ni kama pesa za hao mabilionea ni pesa ya kijamii. Ushoshalisti uliwadumaa akili kiukweli.
corona imewarudisha kwenye negative growing economy👇👇👇

 
Nairobi Commuter Rail service almost ready to be launched👌

Hapa yafanyiwa tests



Mataga wa Ccm, sisi twangoja zile zenu kutoka South Korea ziingie nchini
 
Haki ya nani SGR ya Kenya (which is equivalent to our upgraded MGR) wakiiwekea umeme nakwambia kuna hawa akina festo, Komora, asvptx, Teargear & Co. Ltd watapanda uchi kwenye nguzo za umeme za reli kupiga picha ili tu tuone kweli wana reli ya umeme! 😃 😃 😃 😃 😃
Halafu unadhihirisha udumavu wa akili kulinganisha SGR na MGR. TOTALLY DIFFERENT things, ila tunawavumilia kwa sababu ya ukosefu wa exposure.

Ya Pili, usiwe na shaka. SGR yetu utakuwa upgraded to electric wakati wake ukifika. Sisi hatukurupuki kufanya vitu eti kisa jirani ametekeleza. Nyie on the other hand hata hamjielewi. Mnabaki kuwa laughing stock wa EAC.

HAHAHAHAH mods saa zingine ni vizuri kuficha aibu kwa Watanzania kwa ku ban wajinga kama hawa.
 
corona imewarudisha kwenye negative growing economy👇👇👇


Kwa hivyo? Hilo lilishabainika pindi janga lilipo jitokeza. Na usishtuke kuskia uchumi wetu ulikua wakati huu wa corona kwa sababu waKenya si wazembe kama nchi fulani. Mwishowe tunaelekea kuwa double kiuchumi na msipochunga tutawatriple mkiimba nyimbo za kuipiku Kenya 😹😹😹
 
Back
Top Bottom