asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,015
Nawashangaa sana.. Mizigo karibia 80% inayopakuliwa Dar hubakia huko huko Dar slum. Sasa hii SGR ya kukurupuka sababu Kenya imejenga nangoja kuona losses zake "mwakani". That is kama GoT hawataficha ripoti zao.Nusu ya population yenu ni maskini wa kutupwa hawana huo uwezo wa kuabiri reli ya sgr, mnajengea nani?
Anyway, we wish them all the best.

