Tasahihishe kidogo carier call ni sehemu walipokusanyikia vibarua wabeba mizigo ya wazungu kwenda bara.
Hasa Wanyamwezi na Wasukuma.
Hata Nrb kuna sehemu kama hiyo!!
 
Tasahihishe kidogo carier call ni sehemu walipokusanyikia vibarua wabeba mizigo ya wazungu kwenda bara.
Hasa Wanyamwezi na Wasukuma.
Hata Nrb kuna sehemu kama hiyo!!
Carrier corps kulikuwa na kambi ya askari wabeba mzigo wakati wa vita kuu ya pili
 
Namba 2 kiboko
Huyo Shekilango alikuwa ni mwenyeji au mzaliwa wa mkoa wa Tanga. Si SHEHE kama unavyodhani. Naomba uzifanyie utafiti taarifa zako kabla ya kudanganya watu.
Kizazi cha waliomuona Waziri Shekilango alipopata ajali bado tupo.
 
1.Magomeni-enzi hizo kulikua na miti mingi watu wakawa wanafata magome ya miti pakaitwa magomeni
2.ILALA-kutokana na makaburi ya pale karume kila siku watu wakienda kuzika wanaimba LAILA HA ILALA ikawa ilala
3.UBUNGO- kutoka na matunda ya mabungo kuwa mengi eneo hilo ikawa ubungo
4.kariakoo- magari ya kubebea mizigo enzi hizo yaliyokua yanaleta bidhaa sokoni kariakoo yalikua yanaitwa Carrie cobs -ikawa karia koo
5.MAGOMENI USALAMA.-Kutokana na kituo cha polisi na nyumba ya rais nyerere maeneo yale pakawa sehemu salama
6.SHEKILANGO-kutokana na ajili iliyotokea barabara hiyo miaka hiyo ikapoteza maisha ya waziri fulani aliyekuwa anaitwa sheikh kilango
7.KAWE-Kutokana na ng'ombe wengi kupita njia ya kawe kwenda Tanganyika packers njia hiyo ikaitwa cow ways ikawa kawe
8.kijitonyama-nyama zilizotoka tanganyika packers zilikua zinauzwa kwa mnada maeneo hayo ikawa kijito cha nyama(kijito nyama)
9.Msasani-Musa Hasani
10.MIKOCHENI-michael chen
11.Posta- ofisi kubwa za shirika la posta zilizopo pale

Ongeza majina kadhaa tuzidi kupata elimu juu ya asili ya majina ya maeneo mbalimbali
Namba 6 si kweli, si kweli kabisa, hii barabara haikuwa maarufu kivile na huyu Waziri hakupatia ajali katika hiyo barabara (uzi wa huyu Waziri upo humu), baada ya kufa ndio wakaamua kuipa jina la Shekilango hiyo barabara kama kumbukumbu yake
 
1.Magomeni-enzi hizo kulikua na miti mingi watu wakawa wanafata magome ya miti pakaitwa magomeni
2.ILALA-kutokana na makaburi ya pale karume kila siku watu wakienda kuzika wanaimba LAILA HA ILALA ikawa ilala
3.UBUNGO- kutoka na matunda ya mabungo kuwa mengi eneo hilo ikawa ubungo
4.kariakoo- magari ya kubebea mizigo enzi hizo yaliyokua yanaleta bidhaa sokoni kariakoo yalikua yanaitwa Carrie cobs -ikawa karia koo
5.MAGOMENI USALAMA.-Kutokana na kituo cha polisi na nyumba ya rais nyerere maeneo yale pakawa sehemu salama
6.SHEKILANGO-kutokana na ajili iliyotokea barabara hiyo miaka hiyo ikapoteza maisha ya waziri fulani aliyekuwa anaitwa sheikh kilango
7.KAWE-Kutokana na ng'ombe wengi kupita njia ya kawe kwenda Tanganyika packers njia hiyo ikaitwa cow ways ikawa kawe
8.kijitonyama-nyama zilizotoka tanganyika packers zilikua zinauzwa kwa mnada maeneo hayo ikawa kijito cha nyama(kijito nyama)
9.Msasani-Musa Hasani
10.MIKOCHENI-michael chen
11.Posta- ofisi kubwa za shirika la posta zilizopo pale

Ongeza majina kadhaa tuzidi kupata elimu juu ya asili ya majina ya maeneo mbalimbali
Namba sita yule Mh alikuwa Anaitwa SHEKILANGO na sio Sheikh Kilango! Yule bwana alikuwa mtu wa Tanga km alivo SHELUKINDO, SHEMDOE, SHEHANI
 
Huyo Shekilango alikuwa ni mwenyeji au mzaliwa wa mkoa wa Tanga. Si SHEHE kama unavyodhani. Naomba uzifanyie utafiti taarifa zako kabla ya kudanganya watu.
Kizazi cha waliomuona Waziri Shekilango alipopata ajali bado tupo.
Unaongea na mimi au unaongea na cm?
 
'Beyond' the river (Kiwira). Wakitamka Waingereza mbele ya wazee wa Kinyakyusa huko Kyela enzi hizo wakionesha ng'ambo ya mto Kiwira. Wazee 'beyond' ikawashinda, ikawa Bujonde, hadi leo Bujonde ni kijiji maarufu huko Kyela
 
Mengine umepatia mengine unapotosha. Kibosho haina mana ya kibo show kama unavyosema. Kibosho inatokana na Jina Kiwoso (Kioso) mkazi wa mwanzo kuishi eneo hili. Alitokea ukambani baade alianzisha utawala wake hapa.wageni Waliokuja baadae walishindwa kutamka Kiwoso wakawa Wana paisa Kibosho
 
Hussein Shekilango alikua waziri wa nchi Katika ofisi ya waziri mkuu, Edward Sokoine. Mnamo1979 Mda mfupi baada ya kwisha vita ya Kagera akiwa katika moja ya ziara zake kikazi, Ndege ndogo ya serkali alokua akisafiria ilipata ajali kwenye mbuga ya Ngorongoro, akafariki. Barabara Ile ikapewa Jina Shekilango kwa kumbukumbu yake.
 
Mengine umepatia mengine unapotosha. Kibosho haina mana ya kibo show kama unavyosema. Kibosho inatokana na Jina Kiwoso (Kioso) mkazi wa mwanzo kuishi eneo hili. Alitokea ukambani baade alianzisha utawala wake hapa.wageni Waliokuja baadae walishindwa kutamka Kiwoso wakawa Wana paisa Kibosho
HAPANA ila tafsiri ya mwanzo ndio sahihi Bw Kimei
Kibo - show KIBOSHO ni eneo ambalo ukitaka kukiona kilele cha kibo kwa uzuri na karibu ni maeneo hayo
KIBOSHO ndio likaleta Neno KIWOSOO ni wale majirani zao k Wamachame wanavyowaelezea au kuwatambulisha wakibosho km kwa dharau aah wale ni KIWOSOO tu
(maeneo yote yaliyo chini ya Mlima yana baridi sana hayakutawaliwa na watoka mbali km huko Usambaani kwenye joto kwani walifukuzwa na kukimbiziwa Ugweno na Usangi akiwakimbiza na kuwapiga waparee.
fuatilia wikipedia, Encycolopidia, google nk
 
1.Moshi majengo kuna daraja linaitwa daraja la Otieno.Mjaluo mmoja kwa jina la Otieno alisombwa na maji ya mafuriko akakwamia pale kwenye tawi la mti 2.Babati kuna sehemu inaitwa mguu wa Zuberi.Jamaa mmoja jina Zuberi aliliwa na simba wakabakisha mguu wake mmoja ambao ulikuwa na matende
 
Nimekwelewa ndugu yanguMr.Mkwaju, na ndio maana hapo kabla nilikujibu kwambamengine umepatia ila si yote. Japo sijui wewe ni mwenyeji toka pande zipi Hilo jina kiwoso ni common uchaggani kote hasa kwawazee .Na hata kwa wakibosho wenyewe wanalitumia sana . Mantiki yangu hapa ni kwamba siyo kila.jina lililetwa na Hao wageni. Majina mengi yalikuwepo tangu kale,ila wakuja wakatamka walivyoweza kutamka. Na kuhusu point yako ya pili kwamba sehem za baridi kulikua hakuna Tawala Hilo nalo nakupinga. For your imf.Wachagga wameanza kuishi kilimanjaro around 12th C na walipofika kule walikuta tayari Kuna watu waliwahi kuishi huko kabla .watu hawa walikua wa asili ya Pygmy. Hivyo basi Very soon walipohamia Wali establish Kingdoms zao . Zilianza kama Kingdoms ndogondogo then baadae17C
. Wakatokea watawala wakubwa zaidi wakaform Kingdoms Kubwa , kama Mangi Marrawit, Horombo, Marialle, Sina, Rongoma, Renguo (Rengwa) Mandara etc. Ningekushauri sikumoja ufunge safari ya kiutalii,uende uchaggani ukafanye re search Wazee huko watasaidia ku prove ninachokwambia.
 
. Wakatokea watawala wakubwa zaidi wakaform Kingdoms Kubwa , kama Mangi Marrawit, Horombo, Marialle, Sina, Rongoma, Renguo (Rengwa) Mandara etc. Ningekushauri sikumoja ufunge safari ya kiutalii,uende uchaggani ukafanye re search Wazee huko watasaidia ku prove ninachokwambia.
Nimekuelewa mkuu Kimei nashukuru kwa ufafanuzi
kwa sababu Mada ni jina la Kibosho (majina ya miji) tuyaachie hapo
kuProove hawawezi Mkuu kwa sababu mmi huko ni kwangu km Mzaliwa
na Wikipedia mtu yeyote anaruhusiwa kuandika Historia au chochote mradi uwe member km wewe
ni kweli karne ya 12 waliingia chini ya Mlima huo ukiwa ni Msitu walikuwa ni waBantu wakitokea mbali
Chaga people - Wikipedia
mwisho wa hiyo article utaona waandishi na wewe unaweza ongezeamo hapo
kuhusu Kiwoso tufanye siku ingine
 
Namba sita yule Mh alikuwa Anaitwa SHEKILANGO na sio Sheikh Kilango! Yule bwana alikuwa mtu wa Tanga km alivo SHELUKINDO, SHEMDOE, SHEHANI
shekhan ni jina la kiarabu sio kisambaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom