Kuna mwenyeji mmoja wa Kigoma aliwahi kuniambia kuwa ktkt ziwa Tanganyika kuna samaki wawili mashuhuri sana ambao kwa kiha wanaitwa "Itanga" na "Nyika". Mmoja wao inasemekana ana umeme mkali.

K/hiyo, huenda neno "Tanganyika" limetokana na majina ya samaki hao.

Labda Mh. Zitto Kabwe anaweza kutueleza zaidi.
Hapana, Tanganyika imetokana na maneno mawili yaani Tawa na Nyika ambapo wajerumani walipokuwa wakiwalazimisha babu zetu kulima kwa nguvu kwenye mashamba ya kikoloni eg mkonge hawakupenda kuwaona hawa babu zetu wakijikusanya kwa maana waliogopa mapinduzi au harakati za mgomo au any kind of retaliation hivyo mjerumani alipowaona hao watumwa wamejikusanya waliwaambia Tanganyika akimaanisha tawanyika hence the name TANGANYIKA
 
Osterbay wazungu wenyewe waliipa jina

Victoria nayo jina lilitokana sababu qeen Victoria wa uingereza alikaa pale

Morocco,kuna mkutano wa wanawake ulifanyika huko waliporudi tanzania walipewa eneo wakaliita moroco

Magomeni mapipa,nyumba zamani pale ziliizekwa kwa mapipa na magome

Sinza lions zamani huko kulikuwaga na simba mnyama

Mikocheni,.maaeneo hayo kulikuwa na miti ya mikochikochi

Ova
Sinza Palestina ina uhusiano gani na mgogoro wa Palestine na Israel?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom