very soonUsisahau pia kuna mtu atakuja na ID ya koromije.
very soon
Kumbe tayali Ipo alijoine 2013.
Huku kolomije ndipo mkuu wa mkoa wa dar anapotokea?3.KOLOMIJE[BUNDA].
Inasemekana mahali hapo alifika Mzungu aliyeitwa James.Yule Mzungu akataka watu wamwiite 'J' badala ya kutamka jina lote. Hivyo akawaambia CALL ME J, wabantu wakatamka KOLOMIJE na kutengeneza jina la lile eneo.
N:B SOURCE yake ni HEARSAY STORIES....unaweza kusahihisha ama kuongeza majina mengine.
Ndo huko huko.Huku kolomije ndipo mkuu wa mkoa wa dar anapotokea?
hahahahahaahhahahaahahahAlafu akishajibiwa atataka afahamu historia ya Mchamba Wima....kule Zanzibar.
R na L ni tatizo.... ila poa tu, nmekuelewa!!!Makunduchi ipo Zanzibar iro jina linatokana na wavuvi enzi ya utawara wa kisultwani walikuwa wakipenda sana kuanika nyavu zao na kuzishona huku wakiwa wamevaaa misuri ire rain a wengine mapajama mithiri ya mwanamke aliye vaa khanga moko unajuwa msuri ukirowa na zire nyavu zina maji maji inaperekea misuri kuwavuka na walikuwa awajari at a ikiwavuka wanaendelea na kazi yao kwaiyo mahala pare pakaitwa makunduchi
Mkuu matumizi ya R na L yanakusumbua tafuta mwalimu tena wa kiswahiliMakunduchi ipo Zanzibar iro jina linatokana na wavuvi enzi ya utawara wa kisultwani walikuwa wakipenda sana kuanika nyavu zao na kuzishona huku wakiwa wamevaaa misuri ire rain a wengine mapajama mithiri ya mwanamke aliye vaa khanga moko unajuwa msuri ukirowa na zire nyavu zina maji maji inaperekea misuri kuwavuka na walikuwa awajari at a ikiwavuka wanaendelea na kazi yao kwaiyo mahala pare pakaitwa makunduchi